Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Daaah.....
Aaaagh KITANDA HAKIZAI HARAMU banaaa.....
Aaaagh KITANDA HAKIZAI HARAMU banaaa.....
Embu onea huruma ndoa za wenzioMimi nina mpango wa kukusanya watoto wangu popote walipo...🤸🤸🤸
Jichimbie tu kaburi ....🤣Mimi nina mpango wa kukusanya watoto wangu popote walipo...🤸🤸🤸
Ubaba ni heshima tu....Embu onea huruma ndoa za wenzio
Utakuta hata ye mwenyewe anapigiwa,,ibada inaanzia nyumbani🤰Unaweza kuta na mkemia mkuu anayedhani ni baba yake sio biological father wake
🤣Utakuta hata ye mwenyewe anapigiwa,,ibada inaanzia nyumbani🤰
Maana yangu ni kwamba kuna idadi kuwa ya upigwaji...upigiwaji 🤔Ni kawaida kwasababu mpaka zinapelekwa kupimwa tayari kuna doubt au wasiwasi...
Hakika na viashiria vya kupigwa huo vipo tatizo huwa ni tangible proof wachache wenye uwezo na uelewa ndio wanaenda kwenye DNA tofauti na hapo wengi tunalea watoto wa mababa wengine..Maana yangu ni kwamba kuna idadi kuwa ya upigwaji...upigiwaji 🤔
Anayeamini matokeo ya kimaabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali akapimwe akili. Tena ya DNA? No. Ingekuwa matokeo ya common salt pengine sawa. Isitoshe taarifa hii ni ya siku nyingi ilitolewa na Mkemia Fulani muhuni Prof. Manyere. Huyu Prof haaminiki hata kidogo na ndiye aliyedidimiza hadhi ya GCLA .49% nyingi sana...
Huko si mnaamini kitanda hakizai haramu!Mwanza, Arusha, Dar es Salaam na Mbeya no majiji ya wenye tabia mbaya. Tanga hamna kesi hizo
Kaharish* Anawatisha Watumkemia kajamba tayari
Wengine tunatumia alternative way, tutajua tu kama tumeibiwa au lah!Hakika na viashiria vya kupigwa huo vipo tatizo huwa ni tangible proof wachache wenye uwezo na uelewa ndio wanaenda kwenye DNA tofauti na hapo wengi tunalea watoto wa mababa wengine..
Kitanda hakizai haramu na si vibaya mtoto akifana na babu yake mzaa bibi wa shangazi mjukuu wake mkaza mjomba.Wakuu Nikitokea Chato Nawaletea Taarifa ya Mkemia Mkuu Wa Serikali Kwa Ufupi.
Chief Hangaya Weki Iendelee View attachment 1969536
Sent using Jamii Forums mobile app