Wakulungwa ni akina nani hawa?

Wakulungwa ni akina nani hawa?

Raphael focus

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2018
Posts
789
Reaction score
4,637
Habari ya mda huu wanabodi!
Natumai munaendelea vizuri kujikinga na kuchukua tahadhari juu ya covid-19.

Niende moja kwa moja kwenye mada, nimekuwa nikisikia kutoka humu jukwaani msemo unaoashilia jina ama kikundi cha watu "mkulungwa" au "wakulungwa"

Yeyote mwenye uwelewa juu ya maana ya maneno haya "MKULUNGWA" au "WAKULUNGWA" tufahamishane tafadhali.

kama hujaelewa soma comments.
 
Habari ya mda huu wanabodi!
Natumai munaendelea vizuri kujikinga na kuchukua tahadhari juu ya covid-19.

Niende moja kwa moja kwenye mada, nimekuwa nikisikia kutoka humu jukwaani msemo unaoashilia jina ama kikundi cha watu "mkulungwa" au "wakulungwa" .

Yeyote mwenye uwelewa juu ya maana ya maneno haya "MKULUNGWA" au "WAKULUNGWA" tufahamishane tafadhali.

kama hujaelewa soma comments.

'Mkulungwa' ni neno lenye asili ya Kimakonde likimaanisha 'Mkubwa' yaan mtu aliyekuzidi umri! Kwa wingi wake ndiyo huwa 'Wakulungwa'.

Neno hilo limechukuliwa kama lilivyo na kutumiwa na Waswahili kuita waliowazidi umri, hivyo ukiitwa mkulungwa haina tofauti sana na mkubwa uwe kaka/baba/mjomba etc!
 
'Mkulungwa' ni neno lenye asili ya Kimakonde likimaanisha 'Mkubwa' yaan mtu aliyekuzidi umri! Kwa wingi wake ndiyo huwa 'Wakulungwa'.

Neno hilo limechukuliwa kama lilivyo na kutumiwa na Waswahili kuita waliowazidi umri, hivyo ukiitwa mkulungwa haina tofauti sana na mkubwa uwe kaka/baba/mjomba etc!
Na kisiasa imekaaje hasa kwa hapa Tanzania?
 
'Mkulungwa' ni neno lenye asili ya Kimakonde likimaanisha 'Mkubwa' yaan mtu aliyekuzidi umri! Kwa wingi wake ndiyo huwa 'Wakulungwa'.

Neno hilo limechukuliwa kama lilivyo na kutumiwa na Waswahili kuita waliowazidi umri, hivyo ukiitwa mkulungwa haina tofauti sana na mkubwa uwe kaka/baba/mjomba etc!
[emoji106]

kama hujaelewa soma comments.
 
Back
Top Bottom