Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,084
Duh we acha tu nduguKorosho ndio inaenda kudidimia..nchi ya walamba asali hii sasahivi wamejipanga kumnyonya mkulima..ukute bei ni kubwa tu huko kwenye masoko ta nje.
Ila wao wanawapanga wafanyabiashara kisha wanaenda kuuza kwa faida kubwa.
#MaendeleoHayanaChama
Hivi kwa nini mnasema kila anayemkosoa Magufuli analamba asali? Kwa hiyo hakuna mkosoaji wa Magufuli ambaye hakuridhiswa na sera zake bali wote ni maslahi binafsi?Safi kabisa Mwanauchumi mbobezi.... Haya ungekuja huku Nanyamba au Nanyanga au Mahuta utuhubirie tukuelewe.
Tunachojua wauzao nchi yetu ni ninyi mjionao kuwa wasomi.
Hope unajua vema sasa kwamba ground haukuwa peke yako, na ni sisi kwenye vijiwe vyetu vya kahawa na bao tukumbukao enzi zile.
Kila la heri katika Kulambishwa kwako Asali, tuliao tunatosha hatuhitaji msaada wenu.
Kipindi Cha Kikwete ndio ilifika Bei hiyo, jiwe yeye alizipora zoteWakati wa Magufuli bei ilifikaje shilingi 3000 kwa kilo?
Huna akili wewe, huyo alichowafanya watu wa kusini hatuwezi kusahauHapa Tanzania kiongozi aliyekuwa anawajali kiukweli Wananchi Wanyonge alikuwa Hayati Magufuli tu.
Ukishabikia hoja za walamba Asali nawe tunakuweka kundi moja nao, hata kama nawe uko unapigika na korosho tangu mwezi wa 5, kupogolea, kupiga magugu, kupuliza, kulimia mpaka kuvuna.Hivi kwa nini mnasema kila anayemkosoa Magufuli analamba asali? Kwa hiyo hakuna mkosoaji wa Magufuli ambaye hakuridhiswa na sera zake bali wote ni maslahi binafsi?
Usipojisikia aibu, je hata Hatia nafsini mwako haipo kwa kusema uongo hadharani?Kipindi Cha Kikwete ndio ilifika Bei hiyo, jiwe yeye alizipora zote
Wanakera Sana haswa Hawa Chawa wa wanasiasa...ulagahai wa kisiasa Ni tatizo kubwa Sana ...Sasa Bei ya 1600 ukitoa matozo yao mkulima atanufaika Nini...Upo sahihi kabisa, wachangiaji wengi wanazungumzia swala hili kisiasa na sio katika hali ya uhalisia. Ingewezekana wakulima wangezikataa hizo dawa msimu ujao.
Mgomo wa Bei inabidi uwe mkubwa.....Bei ya sasa ukilinganisha na Gharama za Uzalishaji, NI UNYANG'ANYI WA MCHANA KWEUPE. Ajabu wewe mkulima sawa nami unahalalisha kwa hoja za walamba Asali, ETI UCHUMI UMEYUMBA. Mbona bia haipungui bei?
Sijui haya maelezo yako unayatoa kama sarcasm au unamaanisha kweli
Magufuli alisema waziri mkuu atafute wanunuzi watakaonunua kwa bei isiyopungua 3000, waziri mkuu akapata makampuni kadhaa ambayo yangetoa bei hiyo ya juu ya 3000 kidogo, yakatoa bei zao kama vile 3080, 3,100 n.k
Magufuli akakataa akasema bei hizo ni za chini mno akafoka vibaya, akasema serikali ndio utanunua hizo korosho na jeshi ndio litabangua hata kwa mabomu, mwisho wa siku naye akaja kutoa ofa ya 3000 kwa wakulima na zaidi ya nusu ya watu hawakulipwa sababu waliambiwa ni walanguzi (kangomba) na hata hao waliolipwa ni wachache sana walilipwa kwa bei ya 3000, wengi walilipwa kwa bei ya 2600
Mwisho wa siku jeshi halikuweza kubangua zile korosho kwa mabomu na zilikosa wanunuzi na tetesi ni kuwa zilitupwa baharini
Acha upumbavu wa kubisha kila kitu niliuza ndio. Mtu uko mikoa ya kati huko unaleta harakati za kubishia usichokijuahovyo kabisa... nimekuuliza ulishawahi uza hiyo bei au ulimuona nani kalipwa bei hiyo
Acha uzwazwa wewe utawala wa magufuli mimi ndio nimeuza korosho bei kubwa tangu nizaliweKipindi Cha Kikwete ndio ilifika Bei hiyo, jiwe yeye alizipora zote
Tahira wewe,huyo jiwe alipora korosho zetu sisi za milioni 18Acha uzwazwa wewe utawala wa magufuli mimi ndio nimeuza korosho bei kubwa tangu nizaliwe
Hao wote ukimtoa membe ni wahuni na wamemwaga pesa sana kwa vijana ili wawanunulie kangomba hili linajulikana kabisa kwasisi wakazi wa huku kusini hakika apumzike kwa amani JPMWale watetezi wa wakulima wa korosho akina Nauye..Maembe..Kasimu..Aliyekua mwenyekiti wa bodi Annae wako wapi.
Au ndio zama za walamba asali hizi wanakula kwa urefu wa kamba zao.
#MaendeleoHayanaChama
Unaniudhi sana kwa kujifanya mtu wa kusini yaani sisi tumechanganyikiwa serikali ipo kimya haitoi kauli yeyote juu ya utata huu halafu wewe unaleta siasa zako za kijuhaHuna akili wewe, huyo alichowafanya watu wa kusini hatuwezi kusahau
Hauna uwezo huo wewe wa kumiliki korosho zenye thamani hiyo haya nikuulize swali shamba hilo liko sehemu gani?Tahira wewe,huyo jiwe alipora korosho zetu sisi za milioni 18
We akili huna, Mimi nafanya biashara na pia nna mashamba ya mikorosho huko kusini pamoja na mihogo, huyo jiwe kawafirisi watu wengi kipindi kileUnaniudhi sana kwa kujifanya mtu wa kusini yaani sisi tumechanganyikiwa serikali ipo kimya haitoi kauli yeyote juu ya utata huu halafu wewe unaleta siasa zako za kijuha
Umeshindwa kujibu nimekuuliza shamba lako wewe lipo sehemu gani na kijiji gani?We akili huna, Mimi nafanya biashara na pia nna mashamba ya mikorosho huko kusini pamoja na mihogo, huyo jiwe kawafirisi watu wengi kipindi kile