Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,154
- 16,237
BAADHI ya wakulima wa zao la mpunga kata ya Kamsamba wilayani Mbozi wamekuwa na tabia ya kubadilishana zao hilo na pombe hali inayowafanya waendelee
kuishi katika maisha magumu kila msimu wa mavuno unapowadia.
Wamejikuta wakinunua mchele kutoka kwa wachuuzi kutokana na wao kubadilishana mpunga na bia wakati wa msimu wa mavuno.
Tabia ya kubadilishana pombe na mpunga imekuwa ikifanywa na wakulima hao wakati wa mavuno ambapo wachuuzi hufika mashambani wakiwa na masanduku ya bia na wakulima hushawishika kunywa na kujikuta wakibadilishana mpunga na pombe hizo.
Source:
GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Wakulima wadaiwa kubadili mpunga na bia
kuishi katika maisha magumu kila msimu wa mavuno unapowadia.
Wamejikuta wakinunua mchele kutoka kwa wachuuzi kutokana na wao kubadilishana mpunga na bia wakati wa msimu wa mavuno.
Tabia ya kubadilishana pombe na mpunga imekuwa ikifanywa na wakulima hao wakati wa mavuno ambapo wachuuzi hufika mashambani wakiwa na masanduku ya bia na wakulima hushawishika kunywa na kujikuta wakibadilishana mpunga na pombe hizo.
Source:
GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Wakulima wadaiwa kubadili mpunga na bia