Wakulima wa korosho msibweteke na ahadi za majukwani bali subirini kwanza kuona utekelezaji

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,371
Muda mfupi uliopita nilikuwa niko katika mghahawa fulani napata msosi huku taarifa ya habari ya TBC ikiwa inaendelea.

Kwa karibu dakika 25 ilikuwa ni habari ya korosha huku mheshimiwa akimwagiwa sifa kedede kwa uamuzi wake.

Kama kawaifa yao, TBC wamejoji wanaaiasa, wanachi na wasomi (wa UD ) ambao wote walilkuwa ni kutoa pongezi na kusifu.

Mimi sina shida na pongezi zao kwani haki yao ila concern yangu ni kwa wale wananchi wa huko kusini (wakulima wa korosho ) walionekana kujawa na matumaini huku wakiripotiwa kupeleka korosho zao kwenye maghala baada ya kupata matumaini mapya leo hii.

Binafsi nawashauri wakuluma hawa wasiwe na overconfidence kuhusu jambo hili maana sisi wote si wageni nchi hii na tabia za hawa jamaa zinafahamika.

Leo wanaweza kujaa matumaini makubwa lakini kesho wanaweza kujikuta wanalalamikia utekelezaji wa ahadi hizi kuanzia bei na mambo mengine mengi walioahidiwa leo hii na tukaanza kuwaona kwenye tv wakiwa baadhi yao wamepoteza matumaini.

Changamoto ya hili jambo linaweza kuja kuwa ni upatikanaji wa fedha za kutosha kununua korosho zote,kukosekana kwa uzoefu wa kutekeleza na kusimia jambo kama hili, vitendea kazi,maamuzi ya harakaraka bila kujipanga, kufanya mambo kisiasa zaidi, n.k.hivyo zoezi hili linaweza lisikamilike kwa asilimia kadhaa na hivyo kugeuka kero na usumbufu kwa wakulima.

Ushauri wa mbunge wa CCM, Peter Serukamba wa kutaka wafanyabiashara waruhusiwe kununua kwa bei ya shilingi 2700 kwa kilo alafu serikali ijazie hiyo shilingi 300, ulikuwa ni ushauri mzuri na pengine ungepunguza matatizo mengi tunayoweza kuyashuhudia katika utekelezaji wa uamuzi huu wa leo wa serikali.

Nchi yangu bado sana.

Pia, ninawashauri wale walioteuliwa ikiwezekana wapige kambi huko kusini ili waweze kufanya kile kilicho ndani ya uwezo wao(wasibebeshwe lawama) vinginevyo kesho na keshokuwa tunaweza kushuhudi wengine wanaapishwa na nyie mkaishia kupondwa kama watangulizi wenu.

Ni hayo tu.
 
Nilivyokuwa mdg
Nljfcha kwenye freezer for half an hour nile korosho ...

Korosh tamu mazee wanipeleke mm tu nkazbangue....
 
Pole sana!!!!
Unasema issue hii imeendeshwa Kisiasa!!!!
Ok

Vipi wewe hapa umeleta hoja yako Hii KIDINI??? KISAYANSI??? KISIASA??? AU KIUANAHARAKTI????

my take:- MMEPIGWA KNOCK OUT KATIKA HILI

JIPANGENI UPYA KTK LINGINE..

Leo Kuna AGENDA NYINGI amewaanzishia tayari Hebu anzeni na hizo.
Tayari LISSU ameshawapa Agenda moja kutoka kwa MTENGENEZA AGENDA WENU -JPM..kwamba RAIS amekosea kumwambia CJ Kuhusu Majaji wala Rushwa

Hebu anzeni hiyo tuone itawasogeza kwa umbali gani

Lkn issue ya Korosho ACHANENI NAYO.. TAYARI IMEBUMA

Goodnight
 
Kuna watu shuleni kwao walifundishwa negative tu.....
Ni sahihi mkuu
Halafu hawana hata chembe ya Aibu
NI MALAIKA WASIOKOSEA

ANGALIA ZITTO ANAJUA KILA KITU

AKIONGEA KAMA MAMLAKA YA MWISHO SIYO KAMA MTOA USHAURI

ANAITA WENGINE HAWANA MAARIFA YEYE NDIYE MWENYE MAARIFA HAYO

UKIMUULIZA MAARIFA HAYO MBONA HAUJAYATUMIA KUKUZA CHAMA JAPO KIENEE 1/4 YA NCHI UTASIKIA ANAKIMBIA KUJIFICHA KWENYE DEMOKRASIA

.TUWAVUMILIE MAADAM WAMESHAJULIKANA!!!?
 
Ni sahihi mkuu
Halafu hawana hata chembe ya Aibu
NI MALAIKA WASIOKOSEA

ANGALIA ZITTO ANAJUA KILA KITU

AKIONGEA KAMA MAMLAKA YA MWISHO SIYO KAMA MTOA USHAURI

ANAITA WENGINE HAWANA MAARIFA YEYE NDIYE MWENYE MAARIFA HAYO

UKIMUULIZA MAARIFA HAYO MBONA HAUJAYATUMIA KUKUZA CHAMA JAPO KIENEE 1/4 YA NCHI UTASIKIA ANAKIMBIA KUJIFICHA KWENYE DEMOKRASIA

.TUWAVUMILIE MAADAM WAMESHAJULIKANA!!!?
wanakera aisee.
 
Wengi wetu tunaendeshwa na mihemko..
IMG-20181230-WA0006.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hii ishu ya korosho imeniuma sana kuliko maelezo sielewi kabisa nani alituroga sisi watanzania
Hivi kweli tunatakiwa kushangilia kila uamuzi anaofanya rais hata kama mbovu
Nasema wazi hadharani hakuna uamuzi mbovu aliowahi kufanya JPM kama huu ununuzi wa korosho
 
Waziri mkuu alishafanya process nzuri kabisa na alikaribia kupata suluhisho lakini kw kutaka sifa sio nani mshauri wake alitupilia mbali juhudi za PM kumaliza hilo tatizo sasa atatengeneza picha gani kuzima hili
 
Muda mfupi uliopita nilikuwa niko katika mghahawa fulani napata msosi huku taarifa ya habari ya TBC ikiwa inaendelea.

Kwa karibu dakika 25 ilikuwa ni habari ya korosha huku mheshimiwa akimwagiwa sifa kedede kwa uamuzi wake.

Kama kawaifa yao, TBC wamejoji wanaaiasa, wanachi na wasomi (wa UD ) ambao wote walilkuwa ni kutoa pongezi na kusifu.

Mimi sina shida na pongezi zao kwani haki yao ila concern yangu ni kwa wale wananchi wa huko kusini (wakulima wa korosho ) walionekana kujawa na matumaini huku wakiripotiwa kupeleka korosho zao kwenye maghala baada ya kupata matumaini mapya leo hii.

Binafsi nawashauri wakuluma hawa wasiwe na overconfidence kuhusu jambo hili maana sisi wote si wageni nchi hii na tabia za hawa jamaa zinafahamika.

Leo wanaweza kujaa matumaini makubwa lakini kesho wanaweza kujikuta wanalalamikia utekelezaji wa ahadi hizi kuanzia bei na mambo mengine mengi walioahidiwa leo hii na tukaanza kuwaona kwenye tv wakiwa baadhi yao wamepoteza matumaini.

Changamoto ya hili jambo linaweza kuja kuwa ni upatikanaji wa fedha za kutosha kununua korosho zote,kukosekana kwa uzoefu wa kutekeleza na kusimia jambo kama hili, vitendea kazi,maamuzi ya harakaraka bila kujipanga, kufanya mambo kisiasa zaidi, n.k.hivyo zoezi hili linaweza lisikamilike kwa asilimia kadhaa na hivyo kugeuka kero na usumbufu kwa wakulima.

Ushauri wa mbunge wa CCM, Peter Serukamba wa kutaka wafanyabiashara waruhusiwe kununua kwa bei ya shilingi 2700 kwa kilo alafu serikali ijazie hiyo shilingi 300, ulikuwa ni ushauri mzuri na pengine ungepunguza matatizo mengi tunayoweza kuyashuhudia katika utekelezaji wa uamuzi huu wa leo wa serikali.

Nchi yangu bado sana.

Pia, ninawashauri wale walioteuliwa ikiwezekana wapige kambi huko kusini ili waweze kufanya kile kilicho ndani ya uwezo wao(wasibebeshwe lawama) vinginevyo kesho na keshokuwa tunaweza kushuhudi wengine wanaapishwa na nyie mkaishia kupondwa kama watangulizi wenu.

Ni hayo tu.


Ww ni nabii hakika. Naona ngoma imebana sasa wamekaa kwani mchezo umekua mgumu.
 
Mkuu hii ishu ya korosho imeniuma sana kuliko maelezo sielewi kabisa nani alituroga sisi watanzania
Hivi kweli tunatakiwa kushangilia kila uamuzi anaofanya rais hata kama mbovu
Nasema wazi hadharani hakuna uamuzi mbovu aliowahi kufanya JPM kama huu ununuzi wa korosho
Kinachokera na kuudhi ni jinsi media ambaavyo huwa zinampamba kwa kauli zake za majukwaani.

Siku hizi hata hamu ya kufuatilia media za humu nchini imeniisha kabisa.Yaani ni kama Taifa zima tumeguzwa watoto wa kushangilia kila jambo kuanzia waandishi, wasomi,n.k.

Hakika inaumiza sana!!
 
Back
Top Bottom