Naam....nadhani wamelenga kutufikisha huku sasa!
Na vile wanajua wadanganyika hawajali, wametanguliza UMIMI na KUJIMWAMBAFAI mbele, hawatakuwa na habari wala maono ya kinachopangwa...yaani ni kama vile ULAYA inapoanza kushtuka saa hii kuwa IMMIGRANTS ni unforeseen plot, watu wanafanya multiplication and intermarriage, soon wana-take over then thats it.
Pu pa...minyororo inarudi, sheria inakuwa sharia