amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,103
- 30,990
- Thread starter
- #141
Pole rafiki.Akhsante
Niliumia Sana ila naendelea vizuri na nafanya shughuli zangu kama kawaida japo mkono mmoja umelemaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole rafiki.Akhsante
Niliumia Sana ila naendelea vizuri na nafanya shughuli zangu kama kawaida japo mkono mmoja umelemaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana dogo..ilikuaje ukapata ajaliAkhsante
Niliumia Sana ila naendelea vizuri na nafanya shughuli zangu kama kawaida japo mkono mmoja umelemaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
AkhsantePole sana dogo..ilikuaje ukapata ajali
? Au uzembe wa dereva
Pole mpenzi Mungu mwemaAkhsante
Niliumia Sana ila naendelea vizuri na nafanya shughuli zangu kama kawaida japo mkono mmoja umelemaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akhsante
Sijui hata
Niliambiwa kwamba nilikuwa navuka,gari ilikuwa speed ilihama upande na kuja kunipiga nikiwa pembezoni kabisa mwa barabara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pembeni kulikuwa na gari ya polisi ,dereva aliogopa kusimama ila baada ya siku kadhaa aliuliza hadi akafika nyumbani.Alisimama dereva...Mungu bado ana Nia na ww ..shukuru kupona!
Daaah!pole dearPembeni kulikuwa na gari ya polisi ,dereva aliogopa kusimama ila baada ya siku kadhaa aliuliza hadi akafika nyumbani.
Akhsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sanaAkhsante
Niliumia Sana ila naendelea vizuri na nafanya shughuli zangu kama kawaida japo mkono mmoja umelemaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli ni kwamba hawatadumu lakini pia watampotezea muda na kumuumiza moyo wake, wamuache na yeye pia ajiache, mapenzi aachane nayo, she is not fitMungu atamjalie amupate huyo better & half atakayempenda lile pendo la kweli, la kumjali kuvumilia na Hali yake hao wengine wataka mteremko hawatadumu. Ila yupo atakayempenda jinsi alivo
Kweli kAbisa wamwache tu dada wa watu akae alivo kuliko kuja kumtesa na hyo Hali yake. Hii dunia hujafa hujaumbikaKiukweli ni kwamba hawatadumu lakini pia watampotezea muda na kumuumiza moyo wake, wamuache na yeye pia ajiache, mapenzi aachane nayo, she is not fit
AkhsanteDaaah!pole dear
JamaniPole,kweli picha za instagram zinapotosha. Huyo kaka ni marioo hana lolote. Idaho USA anaishi kwao. Kwanza alipata kesi ya kubaka ndo akakimbilia Tanzania,ndo akaja kuishi Tanzania na kumpata Waconta. This boy ni tapeli flani ni mcongo wale wanaongea swahili,alikuwa anaishi kwenye kambi ya Nyarugusu yeye na familia yake,baadae ndo wakapelekwa USA kama wakimbizi. Eti Dr???????Mario huyoooo hana lolote. Maisha yalimpiga Tanzania ndo akajiweka kumsaidia Wakonta then akawa anamla. Kesi ilivyoisha huyoooo akarudi zake Idaho.
DuhhHuyu ni mcongo anaishi Idaho USA kama kasoma sana basi kaishia la saba,ni mkimbizi alikwenda USA na wazazi wake kupitia tiketi ya ukimbizi before waliishi kambi ya Nyarugusu.
Ilitakiwa awe anamjulia HaliNa nafsi itakua inamsuta sana huyo Dada aliesababisha ajali
Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app