Hapana...supastaa sijawahi kumsaidia.
Kwanza mi na yeye tushawahi kuwa na beef kwa muda mrefu tu hadi hii majuzi ndo naona kidogo amani imerudi.
Na hapana Mangi. Supastaa hanifahamu.
Mtu ambaye kidogo nahisi huenda ananifahamu kidogo ni Maxence Melo....wengine hudhania tu kuwa wananifahamu lakini hakuna kitu. Na ndo maana unaona nina nyodo sana....😀😀😀