popiexo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 742
- 182
Baadhi ya wachezaji wa DRC wamesema Tanzania "Taifa Stars" ilistahili kucheza nusu fainali, lakini wachezaji wake wamejaa utoto mwingi na hawajali kazi yao katika michuano ya bonde la mto nile.
"Nimeona mechi ya Tanzani, wachezaji wanapoteza pasi halafu hawajali, wanafungwa goli wanatabasamu"
"Unafungwa bao tano hata kadi ya njano hupewi kwa kucheza rafu kupunguza kasi yao, vijana wenu wamejaa utoto mwingi sana, hawajui thamani ya mpira"alisema kiungo Kasongo Ngandou, anaechezea TP Mazembe.
Source: Mwananchi.
Hii ni kweli hatuna wachezaji ndio maana wanashindwa kucheza ulaya kila wakienda wanarudi, mara ooh nimekumbuka nyumbani
"Nimeona mechi ya Tanzani, wachezaji wanapoteza pasi halafu hawajali, wanafungwa goli wanatabasamu"
"Unafungwa bao tano hata kadi ya njano hupewi kwa kucheza rafu kupunguza kasi yao, vijana wenu wamejaa utoto mwingi sana, hawajui thamani ya mpira"alisema kiungo Kasongo Ngandou, anaechezea TP Mazembe.
Source: Mwananchi.
Hii ni kweli hatuna wachezaji ndio maana wanashindwa kucheza ulaya kila wakienda wanarudi, mara ooh nimekumbuka nyumbani