Wako wapi watu hawa?

Kama kawa kama dawa...
 
Kweli nimeamini mwanaume ukioa waweza ata badili jina , dini nk kila nikimention kaka yetu inagoma nikasema ntauliza kumbe kutoka figganiga hadi kobun mkuu tushakuzoea tunakuomba uje huku utuambie ilikuaje hadi uka change username au mambo ya kifamilia nisamehe shemeji yangu Heaven on Earth km ntakua nimeinglia majukumu ya kifamilia yenu.

mi mwenyewe nashangaa kwa nini hajatuambia bily
 
Last edited by a moderator:

anakwepa pm za vimwana
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…