Wako wapi watu hawa?

Baada ya kuachwa na my wife wangu Madam B na kukimbilia kwa yule jamaa wa siasani, ilinibidi nitafute muda kidogo wa kufind myself. lakini namshukuru Mungu kwamba nimerudi salama. Niko hapa na Chimbuvu naandaa mikakati kabambe ya mapinduzi makubwa. Naandaa Waraka ili tumuengue Baba V tumechoshwa na rais wa milele kama Idd Amini.
Hata hivyo niliwamiss sana watu wangu wa nguvu @mkiva Arushaone Donn tedo Chibolo etc........
Kama kawa kama dawa...
 
Kweli nimeamini mwanaume ukioa waweza ata badili jina , dini nk kila nikimention kaka yetu inagoma nikasema ntauliza kumbe kutoka figganiga hadi kobun mkuu tushakuzoea tunakuomba uje huku utuambie ilikuaje hadi uka change username au mambo ya kifamilia nisamehe shemeji yangu Heaven on Earth km ntakua nimeinglia majukumu ya kifamilia yenu.

mi mwenyewe nashangaa kwa nini hajatuambia bily
 
Last edited by a moderator:
Kweli nimeamini mwanaume ukioa waweza ata badili jina , dini nk kila nikimention kaka yetu inagoma nikasema ntauliza kumbe kutoka figganiga hadi kobun mkuu tushakuzoea tunakuomba uje huku utuambie ilikuaje hadi uka change username au mambo ya kifamilia nisamehe shemeji yangu Heaven on Earth km ntakua nimeinglia majukumu ya kifamilia yenu.

anakwepa pm za vimwana
 
Last edited by a moderator:
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom