Wako wapi wanunuzi wa madini?


Mkuu, kuhusu Copper mi nafahamu mashamba makubwa mno ya copper, tatizo ni mtaji wa kufanya uchimbaji! hakuna makampuni huko ambao wangependa kuwekeza kwa ubia, kama mtu ana vitalu vyake na anataka mwekezaji afanye naye ubia.
 
Mimi niliyapata Msumbiji, tena ni hukuhuku mpakani na TZ si mbali sana
kutoka Mweda hadi huko tena huko sikwenda kwa lengo la madini nilipeleka
Laptop.

Hongera Mkuu, Msumbiji kuna Gemstone nyingi sana we ulipata Dhahabu na Almasi?, ulienda maeneo gani Mkuu, Mtepweshi? btw, vipi biashara ya laptops bado unapeleka?..biashara ya laptops na compters kwa ujumla imekaaje huko?
 
Sawa Mkuu,

Ntaulizia ingawa kwa Tanzania kuna shida kidogo kuwa Wingi wa Copper katika mawe upo chini kidogo kulinganisha na Wacongo au Zambia na hivyo wawekezaji wanaona heri waende Congo na hasa Lubumbashi. Hivyo ninavyoandika, jamaa wanashughulikia safari ya kwenda Lubumbashi kuonana na Gavana wa Mji huo Mama Maria.

Anyway, kama ntapata jamaa walio tayari basi ntakujulisha. Ila wengi ni wafanya biashara ambao hawataki kuwekeza kwenye migodi na kuwapata hao ni ngumu sana kwa sababu wanakuwa ni watu wenye viwanda na matajiri wa kutisha ambao wao wanaongea na Nchi na siyo mtu binafsi. Hapa nikiwa na maana ni Rais wa nchi anakuja kuwaona wakawekeze sehemu au Waziri na si mtu binafsi.
Mkuu, kuhusu Copper mi nafahamu mashamba makubwa mno ya copper, tatizo ni mtaji wa kufanya uchimbaji! hakuna makampuni huko ambao wangependa kuwekeza kwa ubia, kama mtu ana vitalu vyake na anataka mwekezaji afanye naye ubia.
 

Heshima kwako Mkuu!
 
Mkuu, kuhusu Copper mi nafahamu mashamba makubwa mno ya copper, tatizo ni mtaji wa kufanya uchimbaji! hakuna makampuni huko ambao wangependa kuwekeza kwa ubia, kama mtu ana vitalu vyake na anataka mwekezaji afanye naye ubia.
Mkuu
Hayo mashamba makubwa ya copper yako wapi kwa hapa Tanzania?
 
uzi ni wakitambo kidogo ila nlitaka kufahamu kitu jamani..nna vpande vya ruby na red garnet ukubwa kama punje za mtama au mchele ..naweza uza wapi??
 
Wadau nahitaji kujua Mercury in rangi gani hasa maana najua kwa kusoma kwa makaratasi na story ,kuna ya kiwandani na jiwe sasa je yakiwandani ikoje na soko lake likoje kwa gram
 
Wadau nahitaji kufahamu mercury ya kiwandani ikoje na ya kwenye mwamba ikoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…