Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Nawaulizia hasa hawa wawili. Wa kwanza ni Mkuu CHAI CHUNGU. Huyu ni mwanzilishi wa simulizi za kusisimua na zenye muendelezo. Amepotea sana.
Wa pili ni Mkuu Zahra White. Huyu alijipambanua kama mwanadada wa kileo,mrembo na wa mjini hasa. Mabandiko yake yalitikisa hapa MMU. Naye amepotea sana.
Wakuu jitokezeni. Au mwenye taarifa zao azimwage hapa.
Watakuwa walipigwa ban za maisha, wakaja na IDs nyingine. Mi mgeni humu ila kutokana na nilivyosoma baadhi ya threads za hivi karibuni, ninafikiri humu mtu 1 anaweza kuwa na IDs kama tatu au nne. Yaani anakuwa na good guy na bad guy personalities.
Wako chumba maalum wametengwa wanahisiwa kuwa na ebola.
Wako chumba maalum wametengwa wanahisiwa kuwa na ebola.
Nawaulizia hasa hawa wawili. Wa kwanza ni Mkuu CHAI CHUNGU. Huyu ni mwanzilishi wa simulizi za kusisimua na zenye muendelezo. Amepotea sana.
Wa pili ni Mkuu Zahra White. Huyu alijipambanua kama mwanadada wa kileo,mrembo na wa mjini hasa. Mabandiko yake yalitikisa hapa MMU. Naye amepotea sana.
Wakuu jitokezeni. Au mwenye taarifa zao azimwage hapa.
Duhh,we kiboko,yani umenigoogle ki-JF loh!!!
utakuta wapo sana tu ila ndo hujui kama ni wenyewe....
nasikia jf ina watu 500 tu
Usijari mkuu.Mkuu CHAI CHUNGU,nimefarijika sana kukusikia. Mimi niko salama. Tupe kigongo kingine Mkuu