Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,596
- 13,980
Echolima1 a.k.a mwenye majina 30+ kama utitiri Umejificha wapi au kazi za kusafisha vyoo zimekuzidi kule Tela Aviv.
Umewaona Hezbullah au bado
View: https://youtu.be/_d95LLJvZ7Y?si=KaozdYLUYtd555oI
Afu kuna fununu wametekwa askari wa Israel walijidai eti makamanda kushuka kutoka kwenye Helcopter kutumia Parachutes.
View: https://youtu.be/Ql9bTdpIM98?si=WKroEMOsVZ4mg--V
Huyu waziri alikuwa akitamba ataigeuza Lebanon kama Gaza mtoto wake inasemekana kaumizwa vibaya sana na Hezbullah
Umewaona Hezbullah au bado
View: https://youtu.be/_d95LLJvZ7Y?si=KaozdYLUYtd555oI
Afu kuna fununu wametekwa askari wa Israel walijidai eti makamanda kushuka kutoka kwenye Helcopter kutumia Parachutes.
View: https://youtu.be/Ql9bTdpIM98?si=WKroEMOsVZ4mg--V
Huyu waziri alikuwa akitamba ataigeuza Lebanon kama Gaza mtoto wake inasemekana kaumizwa vibaya sana na Hezbullah