Wako wapi walio sema Hezbullah kwisha?

Wako wapi walio sema Hezbullah kwisha?

Adiosamigo

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
10,596
Reaction score
13,980
Waliingilia upande wa Syria na uniform za jeshi la Lebanon,wakachezea mbaya,kuzuwia kutekwa Israel wakatuma chopper,moja ikashushwa,kuna uwezekano wametekwa na wengine kuuawa
 

Attachments

  • Screenshot_2026-03-07-08-33-31-548.jpg
    Screenshot_2026-03-07-08-33-31-548.jpg
    114.4 KB · Views: 4
Echolima1 a.k.a mwenye majina 30+ kama utitiri Umejificha wapi au kazi za kusafisha vyoo zimekuzidi kule Tela Aviv.

Umewaona Hezbullah au bado


View: https://youtu.be/_d95LLJvZ7Y?si=KaozdYLUYtd555oI

Afu kuna fununu wametekwa askari wa Israel walijidai eti makamanda kushuka kutoka kwenye Helcopter kutumia Parachutes.



View: https://youtu.be/Ql9bTdpIM98?si=WKroEMOsVZ4mg--V

Huyu waziri alikuwa akitamba ataigeuza Lebanon kama Gaza mtoto wake inasemekana kaumizwa vibaya sana na Hezbullah

Echolimai mwenyewe kimyaaaa sn sijui tuanze michango!!!!!
 
Echolima1 a.k.a mwenye majina 30+ kama utitiri Umejificha wapi au kazi za kusafisha vyoo zimekuzidi kule Tela Aviv.

Umewaona Hezbullah au bado


View: https://youtu.be/_d95LLJvZ7Y?si=KaozdYLUYtd555oI

Afu kuna fununu wametekwa askari wa Israel walijidai eti makamanda kushuka kutoka kwenye Helcopter kutumia Parachutes.



View: https://youtu.be/Ql9bTdpIM98?si=WKroEMOsVZ4mg--V

Huyu waziri alikuwa akitamba ataigeuza Lebanon kama Gaza mtoto wake inasemekana kaumizwa vibaya sana na Hezbullah

Clip ulizoweka zina lugha za Majini hivyo watu wengi hawaelewi wanaongea nini

Hivyo kuziweka hapa ni sawa tu kama unajifariji-fariji Baada ya kipogo kupigo cha Mbwa-koko.
 
Echolima1 a.k.a mwenye majina 30+ kama utitiri Umejificha wapi au kazi za kusafisha vyoo zimekuzidi kule Tela Aviv.

Umewaona Hezbullah au bado


View: https://youtu.be/_d95LLJvZ7Y?si=KaozdYLUYtd555oI

Afu kuna fununu wametekwa askari wa Israel walijidai eti makamanda kushuka kutoka kwenye Helcopter kutumia Parachutes.



View: https://youtu.be/Ql9bTdpIM98?si=WKroEMOsVZ4mg--V

Huyu waziri alikuwa akitamba ataigeuza Lebanon kama Gaza mtoto wake inasemekana kaumizwa vibaya sana na Hezbullah

Aione na hii


View: https://www.youtube.com/watch?v=cTBC0MNurkA
Clip ulizoweka zina lugha za Majini hivyo watu wengi hawaelewi wanaongea nini

Hivyo kuziweka hapa ni sawa tu kama unajifariji-fariji Baada ya kipogo kupigo cha Mbwa-koko.
Wewe wamekunyima kuingia kwenya mahandaki yao umejificha kwenye vyoo unavyosafisha kiroho kinapwita
 
Tuliambiwa haipo kabisa ilishafutika!! Sahivi tena mnasema ipo ila imehasiwa? Sasa which is which?
Hezbollah ilikuwa enzi za Gaidi Hassan Nasrallah sasa hivi mnasumbuka na Mavi ya Hezbollah tu nao watasafishwa tu maana hawana impact yoyote kwa Israel maana Bwana wake Iran sasa hivi anapigwa!!
 
Hezbollah ilikuwa enzi za Gaidi Hassan Nasrallah sasa hivi mnasumbuka na Mavi ya Hezbollah tu nao watasafishwa tu maana hawana impact yoyote kwa Israel maana Bwana wake Iran sasa hivi anapigwa!!
Mbona wamezuia ambush ya makomandoo wa Israel kutokea upande wa Syria? Au huna habari kuwa mission failed?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom