Wako wapi walio sema Hezbullah kwisha?

Wako wapi walio sema Hezbullah kwisha?

Echolima1 a.k.a mwenye majina 30+ kama utitiri Umejificha wapi au kazi za kusafisha vyoo zimekuzidi kule Tela Aviv.

Umewaona Hezbullah au bado


View: https://youtu.be/_d95LLJvZ7Y?si=KaozdYLUYtd555oI

Afu kuna fununu wametekwa askari wa Israel walijidai eti makamanda kushuka kutoka kwenye Helcopter kutumia Parachutes.



View: https://youtu.be/Ql9bTdpIM98?si=WKroEMOsVZ4mg--V

Huyu waziri alikuwa akitamba ataigeuza Lebanon kama Gaza mtoto wake inasemekana kaumizwa vibaya sana na Hezbullah

Wahutous na Hamasi wapo wapi??😂 Wewe unajifariji🤣🤣! Akuna na atotokea wa Kubambana na Israel. Irani 40 yrs anatumia mabilioni ya Dola- Kaisha yeye. Houtous sasa hivi ata jiwe awajarusha,Hamasi yupo anasingizia Swaumu🤣 ajarusha ata mbegu ya Tende...kuelekea Israel. Wewe Taifa limepigana mpaka na Mungu (tafuta asili ya Jina Israel) Utaliweza wapi??
 
Harafu unadanganya watu eti Umefunga!!
Sisi hatufungi masaa 24 linapozama jua tukisikia Adhani Allahu Akbari tunachukua Tende afu tunasema Bismillah Rahman Rahim Allahumma laka sumtu wa Alarizqika aftartu

Maana yake

Ewe Allah, kwa ajili yako nimefunga, na kwa riziki yako nimefuturu
 
Wahutous na Hamasi wapo wapi??😂 Wewe unajifariji🤣🤣! Akuna na atotokea wa Kubambana na Israel. Irani 40 yrs anatumia mabilioni ya Dola- Kaisha yeye. Houtous sasa hivi ata jiwe awajarusha,Hamasi yupo anasingizia Swaumu🤣 ajarusha ata mbegu ya Tende...kuelekea Israel. Wewe Taifa limepigana mpaka na Mungu (tafuta asili ya Jina Israel) Utaliweza wapi??
Hahaha dogo Al Houth wamesema tunasubiri iran atuambie lini tuanze wewe unasema wako wapi nimeisha kuambia kwenye jina loko lile katika yale 30+ Al Houthi wapo, na Hamas wapo kila mmoja atatoka kwa wakati wake. Pia si ulikuwa unasema Hezbullah wako wapi au umesahau wa majina kama utitiri
 
Mbona wamezuia ambush ya makomandoo wa Israel kutokea upande wa Syria? Au huna habari kuwa mission failed?
Ndiyi mission haikufanikiwa kwa sababu hawakulipata hilo kabuki lakini walirudi wote salama shida iko wapi?

Mnaeneza uongo kuwa wameteka askari wa Israel wakati ni uongo waliambiwa wathibitishe kwa kuweka picha za waliokufa au kutekwa hadi leo wameshindwa.

Tunajua silaha kubwa za magaidi ni Uongo!!!! Hivyo Acha waendelee kusema uongo usio na tija!!
 
Hahaha dogo Al Houth wamesema tunasubiri iran atuambie lini tuanze wewe unasema wako wapi nimeisha kuambia kwenye jina loko lile katika yale 30+ Al Houthi wapo, na Hamas wapo kila mmoja atatoka kwa wakati wake. Pia si ulikuwa unasema Hezbullah wako wapi au umesahau wa majina kama utitiri
Endelea kuwaramba miguu magaidi eti wanangoja waambiwe lini waende wamesahau walipopoteza karibu baraza lote la mawaziri? Anyway endeleeni kusubiri!!
 
Nimeona Cluster bombs zinavyopopolewa kwa ustadi na majeshi ya Israel
Jifurahishe tu anga la Israel ni free kwa sasa vitu vi ashula tu, Hata walidai wamemua Mujtabaa Khomen mara hawezi kutoka kichwa chake kimepasuka hahaha


View: https://youtube.com/shorts/dAdedQm5rXw?si=JMA_5q18B99Ig3p6

Waisrael wamepewa masaa 24 warudi walipo tekea Iran kawapa mda waondoke na kawambia wasipo ondoka watazikwa kwenye majumba yao

Fujo Air port wanakimbia

View: https://youtube.com/shorts/xDd6XThvuwM?si=yk_lSS6fgwrygJn6
 
Endelea kuwaramba miguu magaidi eti wanangoja waambiwe lini waende wamesahau walipopoteza karibu baraza lote la mawaziri? Anyway endeleeni kusubiri!!
We msikilize tu Israel na America.

عاجل | مقر خاتم الأنبياء المركزي: نحو 200 قتيل وجريح في قاعدة الظفرة الأميركية. https://search.app/EzeoM

Hawawezi kukuambia askari 200 wameuliwa huko Abu dhabi jwenye base ya Al Dhofra
 
Sisi hatufungi masaa 24 linapozama jua tukisikia Adhani Allahu Akbari tunachukua Tende afu tunasema Bismillah Rahman Rahim Allahumma laka sumtu wa Alarizqika aftartu

Maana yake
Ewe Allah, kwa ajili yako nimefunga, na kwa riziki yako nimefuturu
shehe ina maana sa ivi mdudu haupigi kabisa?
 
Wahutous na Hamasi wapo wapi??😂 Wewe unajifariji🤣🤣! Akuna na atotokea wa Kubambana na Israel. Irani 40 yrs anatumia mabilioni ya Dola- Kaisha yeye. Houtous sasa hivi ata jiwe awajarusha,Hamasi yupo anasingizia Swaumu🤣 ajarusha ata mbegu ya Tende...kuelekea Israel. Wewe Taifa limepigana mpaka na Mungu (tafuta asili ya Jina Israel) Utaliweza wapi??
Kula chuma
 

Attachments

  • Screenshot_2026-03-09-19-24-44-698.jpg
    Screenshot_2026-03-09-19-24-44-698.jpg
    174 KB · Views: 1
  • Screenshot_2026-03-09-19-25-16-835.jpg
    Screenshot_2026-03-09-19-25-16-835.jpg
    148.4 KB · Views: 1
We msikilize tu Israel na America.

عاجل | مقر خاتم الأنبياء المركزي: نحو 200 قتيل وجريح في قاعدة الظفرة الأميركية. https://search.app/EzeoM

Hawawezi kukuambia askari 200 wameuliwa huko Abu dhabi jwenye base ya Al Dhofra
Wajinga tu kama wewe ndiyo wanaweza kuamini uongo huu
 
Hezkumah wakiwa active inakusaidia nini wewe MASKINI unaeishi Tanzania ?
 
Wajinga tu kama wewe ndiyo wanaweza kuamini uongo huu
USA anataka kumkimbia Israeli we amini usiamini ukweli ndio huo base ya Abudhab inaitwa Mdhafar imesafishwa

Trump kaomba Oman anataka kuongea na Mujtab Khomen kajibiwa sisi hatuna mazungumzo mpaa tumalize taifa linalo itwa Israel
 
USA anataka kumkimbia Israeli we amini usiamini ukweli ndio huo base ya Abudhab inaitwa Mdhafar imesafishwa

Trump kaomba Oman anataka kuongea na Mujtab Khomen kajibiwa sisi hatuna mazungumzo mpaa tumalize taifa linalo itwa Israel
Ama kweli kwenye Madrasa yenu mnadanganyana sana!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom