Naantombe Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,254
- 15,743
Angalia usije ukarudi Kibosho mangi...Miaka hiyo mwishoni mwa 90's tuko mikoani huko tulikuwa tunawaonea wivu sana watoto wa daslam.
Matukio ya tv ni wao, kwenye radio ni wao, kwenye mizik ni wao, mademu wazuri ni wao..
Kipindi ile tukienda kwa babu kula chrismas huko kibosho waliokuwa wanatoka daslam walikuwa wanaangaliwa kwa jicho la tatu. Hata jumapili tukiwa church wale walikuwa wanapendeza ukiuliza kidogo unaambiwa katoka Daslam.
Kwa kweli watoto wa daslam mlituonea sana kipindi hicho.
Mwisho wa siku niliweka nadhiri lazima na mimi nije daslam siku moja. Na nije kuishi. Kweli bana wakati nipo advance ilikuwa kila siku ni kusali "Mungu unijalie nifaulu na mimi niende daslam"
Kweli bana nikafaulu na vyuo vyote nilichagua vya daslam sikutaka utani kabisa. Hatimaye nikaingia mlimani.
Since then nimemaliza na sasa na mimi nimekuwa mtoto wa daslam.. Mpaka nimepachoka Hahahahahaaa.
True story
Hahahaa.. Ila huu mji ukiwa mkoani unahisi kama kuna kitu umeacha huku. Basi tu ukiondoka unapatamani..Angalia usije ukarudi Kibosho mangi...
Daslam hapachokeshi ndo maana unaona serikali inahamia Dom lakini Ngosha tunapishana naye hapa mjini kila siku.
Una maana gani?Na bado km za kirumi zimeisha anza na za kiarubu
Dar Es Salaam ndio Tanzania yenyewe...Hahahaa.. Ila huu mji ukiwa mkoani unahisi kama kuna kitu umeacha huku. Basi tu ukiondoka unapatamani..
Home work hiyo ukielewa rudiUna maana gani?
Sijaona home work hapo mkuu, zaidi zaidi ni umetoa sentensi tata isiyo na maana.. Au tatizo shule?Home work hiyo ukielewa rudi
Hahaha.. Hata mi nasubiri kuona vihoja vya kuhamia Dodoma..Dar Es Salaam ndio Tanzania yenyewe...
Kassim Majaliwa na vijana wake wote wako hapa mjini pamoja na kutuhakikishia wanahamia kwa wagogo...
Utaendaje kukaa mbali na Benki Kuu wakati unatafuta pesa??
Hivi vi swahili vyao kweli walitusumbua navyo sana. Walikuwa wanashobokewa sana na mademu.Hakika.
Watoto wa Daslamu walikuwa wenyewe. Walikuwa updated haswa. Miziki wanajua wao kupitiliza, mpira wanajua acha kabisa. Swagga ndo usiseme. Kiswahili chao kinashobokewa na Mabinti. Hata ukibishana nao, wao wanaonekana wanajua kulikopitiliza.
Sisi tuliosoma nao Boarding, walikua wanatuoshea Sana. Watoto wa Dar.
Lakini nimeamini kila kitu kina mwisho wake. Watoto wa Dar walituoshea sana. Lakini walipokua wakubwa na kuwa Wanaume, nasi tunawaoshea sana. Wanaume wa Dar hamna kitu....
Hahaha, mkumbuke sasa. Maisha ni kama Gwaride, ukisikia nyuma Geuka, wa mwisho anakuwa wa Kwanza..
Hapana mkuu.. Sio kwamba nimepachoka.. Nimepazoea tuUnapachoka Dar!
Watoto wa Dar wengi tuliondoka kwenda ughaibuni kabla hujafika mjini Dar. Kuanzia miaka ya mwisho ya 90 watu waliondoka sana Dar kwenda Ulaya, Asia na Marekani.Miaka hiyo mwishoni mwa 90's tuko mikoani huko tulikuwa tunawaonea wivu sana watoto wa daslam.
Matukio ya tv ni wao, kwenye radio ni wao, kwenye mizik ni wao, mademu wazuri ni wao..
Kipindi ile tukienda kwa babu kula chrismas huko kibosho waliokuwa wanatoka daslam walikuwa wanaangaliwa kwa jicho la tatu. Hata jumapili tukiwa church wale walikuwa wanapendeza ukiuliza kidogo unaambiwa katoka Daslam.
Kwa kweli watoto wa daslam mlituonea sana kipindi hicho.
Mwisho wa siku niliweka nadhiri lazima na mimi nije daslam siku moja. Na nije kuishi. Kweli bana wakati nipo advance ilikuwa kila siku ni kusali "Mungu unijalie nifaulu na mimi niende daslam"
Kweli bana nikafaulu na vyuo vyote nilichagua vya daslam sikutaka utani kabisa. Hatimaye nikaingia mlimani.
Since then nimemaliza na sasa na mimi nimekuwa mtoto wa daslam.. Mpaka nimepachoka Hahahahahaaa.
True story