Nakumbuka miaka ya mid 80's haya mabasi yalitamba na kutawala sana line ya Rombo Marangu Moshi Arusha na hata Dar. Mwenye kumbukumbu atukumbushe hawa wataalam waliishia wapi. Sababu kwa miaka ya sasa tungetegemea wawe malegend wa kutisha kwenye sector na wangetoa mfano bora wa usafirishaji wa abiria uliotukuka. Kwani nini kiliwasibu matajiri hawa?
1. Rombo Tulia
2. Rombo Tupendane
3. Mrike
4. Rombo Tarakea
5. Rombo investment
6. Beira- Huyu alikuwa na mabasi tofauti kama Bethania, Bethlehem, Nazareth, Galilaya
7. Samanga
8. Kindokyakombe
9. Na list inaendelea......
1. Rombo Tulia
2. Rombo Tupendane
3. Mrike
4. Rombo Tarakea
5. Rombo investment
6. Beira- Huyu alikuwa na mabasi tofauti kama Bethania, Bethlehem, Nazareth, Galilaya
7. Samanga
8. Kindokyakombe
9. Na list inaendelea......