Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
Nimeangalia TBC na kumuona Mtanzania mmoja Emmanuel Bukuku ambaye amebuni mashine yenye uwezo wa kuita samaki, hongera kwake na vizuri.
Ila huyu jamaa amenifanya nikakumbuka watanzania kadhaa ambao sijui ujuzi wao na ubunifu viliishia wapi? serikali iliwasapoti vipi??
Namkubuka kaka mmoja Rogers Sifelani huyu alitengeneza helcopter na kuruka nayo kutoka arusha hadi Babati miaka ya 90, aliishia wapi?i
Kuna kijana mmoja miaka ile alitengeneza kituo cha redio sijui aliishia wapi?
Nyumbu na magari yao waliishia wapi?
wale na wanafunzi wa Veta BUguruni walitengeneza Gari sijui wako wapi?
hebu tukumbushe na wengine na kama unajua wako wapi hawa kwa sasa utujulishe.
Ila huyu jamaa amenifanya nikakumbuka watanzania kadhaa ambao sijui ujuzi wao na ubunifu viliishia wapi? serikali iliwasapoti vipi??
Namkubuka kaka mmoja Rogers Sifelani huyu alitengeneza helcopter na kuruka nayo kutoka arusha hadi Babati miaka ya 90, aliishia wapi?i
Kuna kijana mmoja miaka ile alitengeneza kituo cha redio sijui aliishia wapi?
Nyumbu na magari yao waliishia wapi?
wale na wanafunzi wa Veta BUguruni walitengeneza Gari sijui wako wapi?
hebu tukumbushe na wengine na kama unajua wako wapi hawa kwa sasa utujulishe.