Wako wapi mastaa hawa siku hizi?

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
734
_MG_7972.JPG
Dar+es+Salaam-20120308-00142.jpg
 
Nimemkumbuka Sylvia Bahame na Aminatha Keita hivi wako wapi jamani
 
kweli mikorogo ya jik na pitosin inachosha sana sura, mabinti wadooogo!!!
 
dokii..yupo ni muigizaji na pia ni mwanamziki(ali perfom kwenye kampeni za ccm kule igunga)..
 
hatimaye sasa katulia. huyo miss yupo sauzi anafundisha sekondari kuna kipindi nilimuona joburg akiwa amenenepa ova! Ustaa Bongo kazi kuu-maintain mkuu. Labda tujiulize kina SOGGY DOGGY, INSPEKTA HARUN, MR. NICE,FERUZI,JUMANNE IDDI wa BSS,MWINJUMA MUUMINI(Tam Tam), Waziri Sonyo, Keneth Mkapa, Stephen Nemes, (mawaziri wa Zamani) wapo wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom