Wako wapi Kafulila na Katambi?

Wako wapi Kafulila na Katambi?

Wa nasubiri mbunge mwingine apigwe mashoka ndo uwaone
 
NYALANDU hakutisha kama hao MAKADA walipokelewa kama Wafalme tukaamini kweli Chama dume kimelamba turufu
 
hao ni bidhaa ambayo haitakiwi kuwa recycled! ni matumizi ya mara moja tuu tupa kule!
 
MAKADA wapya Wa ccm Kafulila na Katambi wamekuwa kimya sana hata kwenye KAMPENI za UBUNGE KINONDONI hawakujitokeza kumnadi Mgombea wao .Nilitegemea wangemwaga SERA za hali ya juu mpaka Chadema wasipate hata KURA 10.
UVCCM huwa wana tabia za kuolewa Mombasa, hivyo ukizungukazunguka mitaa ya Mombasa mida ya magharibi unaweza kukutana nao wakitokea sokoni wakiwa wamejifunika ushungi kama ilivyo desturi za mabinti wa pwani!
 
Kafulila angewasumbua sana kwa uchambuzi na ufuatiliaji.
Katambi naye angeleta chokochoko kule maeneo ya karibu na home baada ya kum-slaughter kamanda Mawazo.
 
Sasa kunadi wagombea huo mkataba mwingine na ililtakiwa likatwe pochi zaidi. Mpunga wote wapewe wao ili wenzao wanunuliwe na nini?
 
MAKADA wapya Wa ccm Kafulila na Katambi wamekuwa kimya sana hata kwenye KAMPENI za UBUNGE KINONDONI hawakujitokeza kumnadi Mgombea wao .Nilitegemea wangemwaga SERA za hali ya juu mpaka Chadema wasipate hata KURA 10.
Ndani ya kabati ila watarudi 2020 kuja kuwaambia walichokikuta ktk Kabati letu .
 
Huko kwenu ndom huwa mnaitimia mara 2?
 
WALIDHURUMIWA POSHO ZAO NDIO MAANA WAMEKUWA WAPOLE PIA WANANYANYASIKA SANA NA WATOTO WA NDANI YA NDOA HUKO KWENYE FAMILIA YA MAMA YAO WA KAMBO.WANATAMANI ARDHI IPASUKE WAINGIE KISHA WAKAIBUKIE KWINGINE.
 
MAKADA wapya Wa ccm Kafulila na Katambi wamekuwa kimya sana hata kwenye KAMPENI za UBUNGE KINONDONI hawakujitokeza kumnadi Mgombea wao .Nilitegemea wangemwaga SERA za hali ya juu mpaka Chadema wasipate hata KURA 10.
Katambi alikuwepo kwenye Kampeni za Kinondoni
 
Katambi akiona anasahaulika ataitisha tena mkutano na waandishi wa habari na kuelezea 'sababu za kuhama chadema'! Haijalishi ni mara ngapi alishaelezea!
 
Back
Top Bottom