Wako wapi Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa?

Mzalendo Mkuu

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
735
191
Siku za karibu kumekuwa na matukio ya chuki za udini ambapo Watanzania Waislaam waziwazi wameonyesha kuwachukia Watanzania Wakristu.

Haya yote yametoa hadharani bila kificho mbele ya polisi na waandishi wa habari. Hoja yangu hapa ni kuwa tunao viongozi wastaafu ambao ni Mwinyi na Mkapa ambao wamelala fofofo na hawashughuliki kabisa na mgogoro huu wa kidini.

Tunajiuliza, wao kama marais wastaafu si tungetemea wawe walezi wa taifa na washauri wa viongozi? Kwani tafsiri ya Baba wa Taifa iliishia kwa Nyerere pekee? Jamani, hawa viongozi wastaafu hawaoni kitu nchi kuingia kwenye machafuko?
 
Hivi Mkuu, miaka yote hii ulikuwa huwajui kama hawa uliowataja ni WANAFIK. Soma dalili za mtu mnafik ili upate kuwaelewa.
 
Niliwaza jambo hili mapema. Mbona kwenye mbio za kampeni na chaguzi wanajitokeza kwa mbwembwe?
How come we dont see them when we need them most. Wanataka kuingilia wakiona mito ya damu?

Wasiache watu waamini kwamba wako kimya kwasababu kukitokea shida wana uwezo wa kuhamia kwenye majumba yao huko Sound... sorry South-Africa.
 
Hao marais wastaafu waliacha madaraka wakiwa na madoa hivyo wanaogopa wakiru kuzungumzia mambo ya kitaifa watu wataanza kuona madoa yao badala ya kusikiliza wanachotaka kusema hii ndio ya shida ya kutokuwa muadilifu.
 
Hayo machafuko gani? Si yamekuzwa tu na magazeti na makanisa ?
Askari nao wakakoleza kwa kuwapiga waandamanaji waliokua polisi ambao hawakua makanisani kuandamana
Wakristo ndio wachochozi
Hivi machafuko gani yalihatarisha amani ? Kule morogoro Chadema walifanya fujo hatimae kijana muuza magazeti akapoteza maisha
Na kule iringa pia walifanya fujo mwandishi wa channel 10 naye akapoteza maisha
Arusha mwanza na mbeya pia yametokea na jana chaguzi za madiwani watu wamekatana mapanga
Hapa ni dar ni mambo yaliokuzwa na watu wenye ajenda chafu ndio maana watu wenye akili zao mkapa mwinyi pinda hata kikwete wamekaa kimya ili wasi dAndie ajenda chafu
Kama kuhatarisha amani tulaani wale ambao kila walkifanya mikutano damu humwagika kaa wao wenyewe walivo ahidi nchi haitatawalika na ndio hao hao wanaokoleza uongo kuhusu ghasia za jui

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hayo machafuko gani? Si yamekuzwa tu na magazeti na makanisa ?
Askari nao wakakoleza kwa kuwapiga waandamanaji waliokua polisi ambao hawakua makanisani kuandamana
Wakristo ndio wachochozi
Hivi machafuko gani yalihatarisha amani ? Kule morogoro Chadema walifanya fujo hatimae kijana muuza magazeti akapoteza maisha
Na kule iringa pia walifanya fujo mwandishi wa channel 10 naye akapoteza maisha
Arusha mwanza na mbeya pia yametokea na jana chaguzi za madiwani watu wamekatana mapanga
Hapa ni dar ni mambo yaliokuzwa na watu wenye ajenda chafu ndio maana watu wenye akili zao mkapa mwinyi pinda hata kikwete wamekaa kimya ili wasi dAndie ajenda chafu
Kama kuhatarisha amani tulaani wale ambao kila walkifanya mikutano damu humwagika kaa wao wenyewe walivo ahidi nchi haitatawalika na ndio hao hao wanaokoleza uongo kuhusu ghasia za jui

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kweli safari bado ni ndefu sana. Maana kama mwenye Blackbery (shows a sense of civilization?) naye anaweza kutoa comment za namna hii ujue shida ni kubwa sana. Anaweza kuwa sahihi (kimtazamo) lakini cha kujiuliza ni kuwa hata hizo habari za kuchomwa makanisa hajaziona? hajazisikia? hizo vurugu za uamsho hajaziona? Hayo mauaji ya huko Zanzibar hajayasikia?

Ni safari ndefu sana maana watu wenye busari tunatakiwa kukiri ukweli wa mambo. Kusimamia msimamo hata kama ni upuuzi ni kuongeza matatizo zaidi badala ya kutatua. Tunapaswa kubadirika na kuwa na focus minded badala ya kuwa na ushabiki. Tubadirike jamani. Hii misimamo ndiyo ilifanya watu wakakosa elimu sahihi na ndiyo maana leo watu haohao wanataabika na matokeo yake wanawaona wenye elimu kama adui zao. Ni tatizo kubwa. Tubadirike

 
Siku za karibu kumekuwa na matukio ya chuki za udini ambapo Watanzania Waislaam waziwazi wameonyesha kuwachukia Watanzania Wakristu. Haya yote yametoa hadharani bila kificho mbele ya polisi na waandishi wa habari. Hoja yangu hapa ni kuwa tunao viongozi wastaafu ambao ni Mwinyi na Mkapa ambao wamelala fofofo na hawashughuliki kabisa na mgogoro huu wa kidini.

Tunajiuliza, wao kama marais wastaafu si tungetemea wawe walezi wa taifa na washauri wa viongozi? Kwani tafsiri ya Baba wa Taifa iliishia kwa Nyerere pekee? Jamani, hawa viongozi wastaafu hawaoni kitu nchi kuingia kwenye machafuko?

Akutengae nawe mtenge! hawashilikish ndo maana wanamuachia bomu lake alisolve!
 
Back
Top Bottom