Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Siku za karibu kumekuwa na matukio ya chuki za udini ambapo Watanzania Waislaam waziwazi wameonyesha kuwachukia Watanzania Wakristu.
Haya yote yametoa hadharani bila kificho mbele ya polisi na waandishi wa habari. Hoja yangu hapa ni kuwa tunao viongozi wastaafu ambao ni Mwinyi na Mkapa ambao wamelala fofofo na hawashughuliki kabisa na mgogoro huu wa kidini.
Tunajiuliza, wao kama marais wastaafu si tungetemea wawe walezi wa taifa na washauri wa viongozi? Kwani tafsiri ya Baba wa Taifa iliishia kwa Nyerere pekee? Jamani, hawa viongozi wastaafu hawaoni kitu nchi kuingia kwenye machafuko?
Haya yote yametoa hadharani bila kificho mbele ya polisi na waandishi wa habari. Hoja yangu hapa ni kuwa tunao viongozi wastaafu ambao ni Mwinyi na Mkapa ambao wamelala fofofo na hawashughuliki kabisa na mgogoro huu wa kidini.
Tunajiuliza, wao kama marais wastaafu si tungetemea wawe walezi wa taifa na washauri wa viongozi? Kwani tafsiri ya Baba wa Taifa iliishia kwa Nyerere pekee? Jamani, hawa viongozi wastaafu hawaoni kitu nchi kuingia kwenye machafuko?