Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,753
- 16,743
Aaaah SawaIsrael keshachomoka kapata uraia wa ureno mwezi 12 mwaka jana
Aaaah SawaIsrael keshachomoka kapata uraia wa ureno mwezi 12 mwaka jana
Hiyo haimsaidii, ndio maana hata yeye machale yamemcheza akakabidhi timu kwa bodi ya wadhamini.Sasa ww ureno unambeba maana ni mwanachama wa eu
Arsenal umeona ndio mfano mzuri eeh. Hebu acha ukuda mkuu
Kinachomuua ni kumuunga mkono Putin regardless ni raia wa Uingereza au lahhata raia israel anabebwa sana,
maana sheria za uingereza zinawapa masharti nafuu wawekezaji wenye uraia wa israel,
alafu uingereza ishajitoa eu,
Uko sahihiAbramovich Ni Raia wa Nchi tatu..
Russia , Israel na Ureno....
Kwanini Israel? Ni kwa Sababu Israel na Uingereza wana mahusiano mazuri kidiplomasia na Hii kwake Ni ulinzi.. kidiplomasia.
Kwa Nini Ureno?
Kwa Sababu Ureno Ni Mwanachama wa Umoja wa Ulaya na pia Ureno Ni Mwanachama wa NATO
Kwa hiyo kidiplomasia hii nayo inamlinda kwa Sababu na yeye Ni Raia halali wa Ulaya na anahaki zote kisheria Kama Raia mwingine wa Umoja wa Ulaya...
Kuepusha shari tu maana hata viongozi walikua wamekabwa..........Hiyo haimsaidii, ndio maana hata yeye machale yamemcheza akakabidhi timu kwa bodi ya wadhamini.
Timu bado anaimiliki yeye.Hiyo haimsaidii, ndio maana hata yeye machale yamemcheza akakabidhi timu kwa bodi ya wadhamini.