Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,863
- 3,190
Wachaga brenda za serikali zilikua zinawapa maisha sio BiasharaWachaga wameacha ujambazi?
Wachaga brenda za serikali zilikua zinawapa maisha sio BiasharaWachaga wameacha ujambazi?
Tumtemeke aliasisi Chadema?Zamani Kariakoo ilikuwa ya Wapemba na Wamanyema na Manzese ilikuwa ya Wachagga lakini sasa mambo yamebadilika huko kote wamejaa Wakinga watupu na maghorofa yao.
Kiukweli mnamuenzi vema mmoja wa waasisi wa Chadema mzee Tuntemeke Sanga RIP ambaye miaka yote aliishi hotelini pale Motel Agip jirani Azania Front posta.
Mapembelo wakinga wote!
Wewe huijui Chadema.Tuntemeke Sanga alishawahi kua muasisi wa Chadema tangu lini?
Umevuta bangi nini?
Dogo alijisahau sana!
Ni mpuuzi na mwendawazimu pekee kama wewe anaeweza kuwabeza wachaga kwa uchapakazi.Wachaga brenda za serikali zilikua zinawapa maisha sio Biashara
mji wao wa iringa ukiingia usiku mida ya saa tano usiku unaukuta upo kimya sana.Na nyie Wahehe amkeni mhakarike sio kushinda kwenye vijiwe vya ulanzi tu.
Hahaahaa aisee unawachukia sana wachaga !!!! Pambana mzeee chuki zinazidi kukuzidishia ufukara!!! Achana na wachaga huwawezi jiwe kajaribu kachemka kadedi!!! Wachaga hawana utajiri wa kufuga misukule!!! Nenda Uganda ,malawi,Kenya, uingereza,botswana uwane!!! Jifunze kutoka kwaoWachaga na wizi wao wamepigwa chini na Wakinga.
Itoshe tu kusema wewe huijui Chadema!Muongo wewe maiti
Sanga hajawahi kua "muasisi" wa Chadema.....
Sanga wentto opposition late in his life not in the beginning wewe
Acha upumbavu
Utakuwa unazungumzia Ipogolo wewe!mji wao wa iringa ukiingia usiku mida ya saa tano usiku unaukuta upo kimya sana.
unaweza sema umeingia katika mji ambao umetelekezwa na wenyeji.
watani zangu wahehe waanze kwanza kuuchangamsha mjj wao. mji umeepooza sana.
Ndeti...... Tunafukuza chawaaaaaaaa.....Zamani Kariakoo ilikuwa ya Wapemba na Wamanyema na Manzese ilikuwa ya Wachagga lakini sasa mambo yamebadilika huko kote wamejaa Wakinga watupu na maghorofa yao.
Kiukweli mnamuenzi vema mmoja wa waasisi wa Chadema mzee Tuntemeke Sanga RIP ambaye miaka yote aliishi hotelini pale Motel Agip jirani Azania Front posta.
Mapembelo wakinga wote!
johnthebaptist soma hiyoomji wao wa iringa ukiingia usiku mida ya saa tano usiku unaukuta upo kimya sana.
unaweza sema umeingia katika mji ambao umetelekezwa na wenyeji.
watani zangu wahehe waanze kwanza kuuchangamsha mjj wao. mji umeepooza sana.
Hela za uchawi hizo.
Alisikika mhuni mmoja kijiweni huku akiwa anapiga miayo, anacheza draft huku akiwa na data za matajiri wote wa nchi.