Wakina dada acheni hizo.....

ipatama

JF-Expert Member
Jun 16, 2016
348
228
Kuna tabia moja mbaya sana akina dada mnaifanya, huwa mnapenda sana kututoa kofia tunazovaa kichwani (hasa kapelo) alafu mnaanza kukimbia nayo ili uonekane upo romantic, just imagine mi nikakutoa hilo wigi lako nianze kukimbia nalo utafurahi?

Fanyeni kile mnachopenda kufanyiwa na nyie
 
.
7f53c8c5b9d474b1aee020939154656e.jpg
 
Kuna tabia moja mbaya sana akina dada mnaifanya, huwa mnapenda sana kututoa kofia tunazovaa kichwani (hasa kapelo) alafu mnaanza kukimbia nayo ili uonekane upo romantic, just imagine mi nikakutoa hilo wigi lako nianze kukimbia nalo utafurahi?

Fanyeni kile mnachopenda kufanyiwa na nyie
Hahahahahahhaahahahaha haki umenicheksha sana apo kweny wigii ukitaka kuachwa subutu kutoa wigi lake ndo utakapojua mbichi na mbivu
 
Inafurahisha sana...
Ila ukae ukijua... Kofia haishonewi kichwani... Ila madada wengi wanashonea mawigi yao... Wengine utawatoa na ngozi... Au itakuwa aibu...


Cc: mahondaw
 
Kila mtu kaumbiwa uzuri wake wa asili lakini anaona haitoshi na kuanza kujichafua na vitu akijua ndio anajirekebisha kumbe anajiharibu.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom