Wakimbizi nchini

Wakimbizi nchini

imma.one

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
542
Reaction score
37
Kwa sasa watanzania tunaishi zaidi ya wakimbizi nchin kwetu haki zetu wanapewa wageni huku tukiendelea kulia na kuumiza vichwa.
Ni lini mwisho wa huu upuuzi.?
 
Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo inathamini wageni kuliko wazawa.Sijui kwa nini watanzania tunaendekeza huu upuuzi? Hizi sifa za "watanzania wema, watanzania wana upendo" ndio zimetufikisha hapa. Haki zetu zinachukuliwa na wageni tunabaki kutazama na kulia, hatujui kudai haki zetu by any means necessary.

nawakilisha.
 
Back
Top Bottom