Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 82,455
- 95,873
Watamuua soonKabisa
Jamaa anajiamini sana
Watamuua soonKabisa
Jamaa anajiamini sana
Usije kuwa miongoni mwao.Ni mpumbavu kama wapumbavu wengine
Mungu atamlindaWatamuua soon
Acha ujinga we jamaa, sio kitu chema hata kukiongea achilia mbali kukifikiria kwa binadamu mwenzioWatamuua soon
Uchumi upi aliouhujumu!?Watampiga uhujumu uchumi
Yuko sahihi kabisaEti Waziri Mkuu ni mtu wa mwisho kabisa kuaminiwa
Ametudanganya kwenye mambo serious
Lakini anatetea hakiWatampiga uhujumu uchumi
Akafafanua kwamba wale sio wajomba zetu.. na muhim ni mkataba wenye maslahi kwa taifa na si vinginevyo. Adam Malima!
Anajiona yupo juu ya munguAcha ujinga we jamaa, sio kitu chema hata kukiongea achilia mbali kukifikiria kwa binadamu mwenzio
Kwa nchi za kijinga kama zetu kutetea haki ni hatari snLakini anatetea haki
Kwani uongo dada angu? huoni watu wanatishiwa kisa kukosoa mkataba?Acha ujinga we jamaa, sio kitu chema hata kukiongea achilia mbali kukifikiria kwa binadamu mwenzio
Hawa jamaa si wakubambika tu iliukae magereza waendelee kupiga mali za ummaUchumi upi aliouhujumu!?
AminaMungu atamlinda
kwa asili ni mwanachadema, sema walizenguana tu hapo mwishoni akaenda nccr. ila alikuwa chadema kindakindaki.Anafaa sana Chadema.
ameshagombea ubunge mara kadhaa, inavyosemekana. sio mgeni kwenye hayo mambo.Nitakwenda kumchukulia form ya Ubunge kwenye jimbo lolote analotaka
Mkuu naona umerudiNi mpumbavu kama wapumbavu wengine