Wakili Msomi Mwabukusi; Je, ndiye 'Daudi' wa Tanzania au tumtazamie mwingine?

Kwani maana ya kuishauri Serikali nini ?

Au unamaanisha kila anachoamua Raisi Bunge letu linakubali.

Basi hakuna haja ya kuwa na Bunge.

Raisi anatosha.
Bunge Livunjwe.
Viini macho hivyo ... Bunge lina wajumbe 393 ambao wote ni matokeo ya mbeleko za ccm isipokuwa mmoja wa upinzani!
Hapo common wananchi hasa bibi na babu zetu ndo wanarubuniwa!!
 
Makuwadi waliiba mchongo mzima wakibakia kuwasinginzia DP World!
Sina uhakika sana kama ule mkataba ulitokea Dubai Emirates!
Kama ndiyo basi DP World wana dharau sana!
 
tuna wawakilishi wa hovyo katika historia ya Tz toka tupate uhuru!
Sidhani kama aina hii ya uongozi itakuja tena kutokea huko mbeleni
 
Ndiyo maana tunawatamani Gabon
Lakini ni suala la muda tu Mkuu.
Maana hata Wagaboni wenyewe walivumilia kwa karibu miaka 60, wakachoka!
Ngoja na sisi wa kwetu waendelee kujisahau, Siku tukio likipigwa, watashangaa kuona hadi wagonjwa kwenye mawodi wanaahirisha kuugua kwa muda na kuingia mitaani/barabarani kusherehekea kama ilivyokuwa huko Gabon.
 
Kwa msiomjua, Wakili Mwabukusi anatoka ukoo wa Kichifu, kwa hiyo uongozi uko kwenye damu.
 
Siyo mnakuwa na kiongozi ambaye hata kabla hajaanza kuhutubia, unahisi usingizi kwa sababu ya kuboreka na hotuba zisizo na mvuto hata kidogo!
 
We want charismatic leaders like Advocate Mwabukusi, the Late JPM, the late Mwl. JKN and the like.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…