- Thread starter
- #81
Why do you care so much about them being called wakili msomi, as I said earlier I would careless how they like to be addressed.Self gratiffication at the expense of colleagues' self esteem? NO!
Waite wanavyopenda nao wajidai.
Why do you care so much about them being called wakili msomi, as I said earlier I would careless how they like to be addressed.Self gratiffication at the expense of colleagues' self esteem? NO!
Ya rais nayo ilikuwemo?Huyu mtu alikuwa na list ndefu sana ya watu aliowataka kuthibitisha PhD zao. Ile kesi iliyeyuka au aliambiwa aiondoe?
Alikomaa na Dr. Mary Nagu, Dr. Nchimbi na wengine wengi, alikuwa na kitabu kabisa, Au naye alipigwa pini akasimamishwa kuwa wakili?
Ilikuwepo, haiwezi kukosekana. Tafuta kitabu ukisome.Ya rais nayo ilikuwemo?
Tofautisha jina na title.
Lakini je ni sawa kwa mtu mwenye kabachelor kake ka Law kisha akapitia Law School kujiita eti wakili msomi ? Wakili asiye msomi anakuwaje ?
wana low self esteem mkuu ni profession flani iliyosahaulika si unaona hali za mahakama zilvyo nchini masjala nzuri hakuna majengo chakavu. kuna kipindi jk alitaka kuvunja ile mahakama ya rufaa aweke hotel pale ha ha ha ha ha
mwenzie ni vilaza, na mara nyingi vilaza ni rahisi kuwatambua vilaza wenzaoAnasema yeye ni kipanga, hivi form six alipata ngapi yeye hadi akaenda kusoma "Dipoloma" ya ualimu?!
Nasikia naye uliyempa AHSANTE ni miongoniYeye hana shida alichoandika aliandika na ni ukweli. Waliolalamika kudhalilishwa aliwaambia waende mahakamani.
Wachache walioenda mahakamani hata kesi hawakuziendeleza. Kainerugaba yupo anaandikia gazeti fulani la Kiingereza hapa nchini.
Ni kweli enzi zile elimu fake ilitamalaki sana. Kuanzia bachelors, masters mpaka doctorates fake. Asante JPM hio haitatokea kwa sasa!