Ulipokuwa chadema uliitwa mtu mwenyekujielewa ulipohama ukaitwa msaliti,mchumia tumbo na chawaWakili madeleka amefunguka sababu ya yeye kutoka Chadema, ikiwa ni baada ya kuhama na kuwa mwanachama wa ACT Wazalendo
Alishinda au ilikuaje ile kesi ya Chupa?Vipi kesi dhidi ya Pauline Gekul wakili msomi Madeleka?