GE2025 Wakili Fatma Karume asema CHADEMA haiwezi kuzuia UCHAGUZI

GE2025 Wakili Fatma Karume asema CHADEMA haiwezi kuzuia UCHAGUZI

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

2070

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2019
Posts
451
Reaction score
483
Wakili Fatma Karume amesema CHADEMA haiwezi kuzuia UCHAGUZI.

Huku akienda mbali kwa kusema atashiriki uchaguzi mkuu kwa kutumia haki yake ya kikatiba kupiga kura

Vile vile ameonya kuwa ni kosa la jinai kuzuia uchaguzi

Screenshot_20250706-224413_Instagram.jpg


Screenshot_20250706-224435_Instagram.jpg


Akijibu maswali mbalimbali katika mtandao wa X

Screenshot_20250706-224405_Instagram.jpg



Screenshot_20250706-224354_Instagram.jpg



Screenshot_20250706-224345_Instagram.jpg



Screenshot_20250706-224331_Instagram.jpg



Screenshot_20250706-224320_Instagram.jpg
 
Ni mpuuzi Tu ambae anaamini uchaguzi utafanyika.

"Uchaguzi huu mwaka hautafanyika."

NRNE !!!
Na kanga zao tumekwisha warudishia watavaa wenyewe.


Alafu hii tabia Yao ya kusomba watu Kwa malori sio nzuri .madogo wanne tayari wamekwisha vuta.



Waaumini WA Gwajima wote WAko na "Lisu" Lisu .


Kule kisesa habari NI njema kabisa.


Wananchi WA kisesa wanamdai mama.

Mpaka hapa Basi NI wazi mwaka hakuna uchaguzi

NRNE
 
Chadema wanaweza kusema kuwa kutakuwepo na upigaji kura lakini sio uchaguzi. Wakisema hivyo nitawaelewa.

Amandla...
 
Wazanzibari wote wameungana ktk kumuunga mkono mzanzibari mwenzao ambaye anafanya kazi kubwa ya kusomba (siyo kubeba) rasilimali za Tanganyika na kuzipeleka Zanzibar.


Wazanzibari wananufaika vya kutosha ndiyo maana huwasikii wakiimba wimbo wa "koti la muungano kubana"
 
ndo maana nasema muslims siku zote watashinda tanzagiza kwa maana Christian watamsulubu kwa nguvu zote bila ya huruma wakishirikiana na baadhi ya Christians halafu muslim wao watamtetea kwa nguvu zote come what may na hawawezi kukubali aangamie piga ua garagaza, mmeona sasa huyo si alikuwa team moja na sarungi nini kimewatenganisha mnafikiri? ni dini tu hakuna kingine …
 
Chadema wa "negotiate"!
Yaani Chadema wa "negotiate"!
Au mimi ndio sijui maana ya neno "negotiate"!

Limshangazi linafeli wazee.
Hhahahahahaha umetumia neno kali sana LIMSHANGAZI
 
Mwambieni sisi tutayaona matunda ya nrne lkn yeye hatayaona kwa macho
 
Wakili Fatma Karume amesema CHADEMA haiwezi kuzuia UCHAGUZI.

Huku akienda mbali kwa kusema atashiriki uchaguzi mkuu kwa kutumia haki yake ya kikatiba kupiga kura

Vile vile ameonya kuwa ni kosa la jinai kuzuia uchaguzi

View attachment 3396698

View attachment 3396699

Akijibu maswali mbalimbali katika mtandao wa X

View attachment 3396700


View attachment 3396701


View attachment 3396702


View attachment 3396703


View attachment 3396704
Anajitoa ufahamu mwenyewe.
Kwani alisjsikia CHADEMA wakitamka wao ndio watazuia uchaguzi?
Ingekuwa hivyo, kwa nini wahangaike na mikutano ya kuwaelimisha waTanzania kuhusu HAKI yao hiyo ya msingi; ya kuwachagua viongozi wao wenyewe!
 
ndo maana nasema siku zote muslims watashinda tanzagiza kwa maana Christian watamsulubu kwa nguvu zote bila ya huruma wakishirikiana na baadhi ya Christians halafu muslim wao watamtetea kwa nguvu zote no matter what come what may na hawawezi kukubali aangamie piga ua garagaraza, mmeona sasa huyo si alikuwa team moja na sarungi nini kimewatenganisha mnafikiri? ni dini tu hakuna kingine …
Lakini Kuna uwanja mpana katika kuamini na kutoa maoni huru
 
Ana hoja asikilizwe, nampenda Lissu na Heche ila kwenye#NRNE# walibugi wanapaswa kua sauti ya watu wao kwa kupeleka wawakilishi bungeni nchi pekee Afrika Mashariki wenye uwezo wa kuimpliment #NRNE# ni Kenya tu sio taifa hili ambalo 80% ya vijana ni wapenda umbea wanapoteza nguvu zao.
 
Back
Top Bottom