Wakikujua tu....umekwisha

Wakikujua tu....umekwisha

Mkwaruzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2011
Posts
563
Reaction score
98
Furaha yao hata sijuwi inatokea wapi? Basi wanavyoona sifa kuwakera wenzao.... utasikia prrrrrrhh, eti wanamjambishia kwasababu ana midadi. Mh! jamani binaadamu wanavituko hadi ktk magojwa ya wenzao. Sijuwi ni nani wanaoudhiwa huko mitaani zaidi ya hawa? HAIPENDEZI
 
dah!!we achaa unanikumbushaa nikiwa mdogo banaa.siunajua michezo ya watoto kunasiku nilikuwa nakimbiaa naliaa kamaa pikipiki ndooooooooooo pruuuuuuuuuuuuuuuuu puuuuuuuuu...bana kumbe kuna mzee ana bushaa,nilisikiaa kirunguu tuuuuuuuuuu cha kiuno,unaambiwaa nikaenda kusema kwa dingi.dingi akaniambia ulivyo fanya vile yule mzee anaumia kwani ni mgongwaa...aaah!kwavile nilikuwa sijui nikajuaa mbonaa alibadili mtaaa....nikawambiaa na wezangu,tumjambishee yule mzeee
 
jamani msiwajambishie, kuna wengine humu humu wamo, mi siwataji..... Naogopa watakuja kuihama jf
 
Back
Top Bottom