Wakijua tunachokitafuta nishtue

Wakijua tunachokitafuta nishtue

Huwa natazama jinsi wanawake wanavyoumiza kichwa kutafuta attention ya wanaume mpaka nawaonea huruma. .

Kwa uhalisia hawajui Tunachokitafuta. ..kama kuna mwanamke aliyegundua wanaume tunataka nini nishtue. ..ili ni mpe "Hela" awashtue na wenzake ili waache kuingia "Chaka"
Hata sisi huwa hatujui wanachokitafuta kwetu.
 
Wanajua sema wanaume sio sawa wengine wanakwambia mwanamke mweusi hana nafasi kwangu wakati yeye mweusi kama kamwagiwa lami, sasa hapo ndio anapokoshwa na carolite wakimpitia na weupe wao aaaaaaaaaaaaah anasema nayeye kaopoa mtoto mweupeeeeeeeeeeeeeeeee, wengine wanasema kama huna Wowowo huna soko wana wahi kwa mchina,ilimradi tafran demand nyingi....
 
Mfano. ..huwa wanafikiria nini kuwa michepuko ya waume za watu ilihali wanawakataa vijana wenzao. ...age ikienda 30's wanaanza kujaa makanisani kusali wapate wanaume wa kuwaoa

Mkuu ebu punguza kuongea ukweli .wengine tuna madada wengi
 
Back
Top Bottom