Hawa watawala waajabu sana, wanatoka miongoni mwetu, lakini wakiishaanza kutawala sisi ndiyo tunakuwa maaadui zao wanalindwa dhidi yetu.
Huu uadui huwa unaanza lini na kwanini iwe hivyo?!
Wanakuja kwetu wanalindwa kwa bunduki za moto, hawataki kuwa karibu na watawaliwa, eti wanahofia usalama wao.
Na hili linaendelea hata wakistaafu, au kuondoka madarakani. Ni lini tunawatisha, ni lini tunatisha hadi wajilinde dhidi yetu wananchi?!
Wengine wanateuliwa lakini nao wanalindwa kweli kweli, adui yao ni sisi hawa hawa kweli au ni mwingine?!
Humo barabarani wanapita kwa kasi hadi kutishia usalama wetu, huwa wanafukuzwa na nani, au wanamkimbia nani?!
Sisi hatulindwi na sisi ndio tunalipa kodi, wao wakianza kutawala kodi wanaacha kulipa, kila kitu bure hata ulinzi wao tunaulipia sisi, na ni sisi wabaya wao tunalipia usalama wao tusiwadhuru, huwa sielewi hili.
Huwa na jaribu kuelewa ni lini huwa tunaanza kuwa tishio kwao, au ni wakati gani.
Kwanini wanatuogopa?!
Huwa najiangalia kwenye kioo sitishi kihiivyo, na nikiwaangalia wananchi wenzangu hawatishi kiiivyo, lakini watawala wanatuogopa, kwanini?!.
Haka ka video ni nyongeza
Huu uadui huwa unaanza lini na kwanini iwe hivyo?!
Wanakuja kwetu wanalindwa kwa bunduki za moto, hawataki kuwa karibu na watawaliwa, eti wanahofia usalama wao.
Na hili linaendelea hata wakistaafu, au kuondoka madarakani. Ni lini tunawatisha, ni lini tunatisha hadi wajilinde dhidi yetu wananchi?!
Wengine wanateuliwa lakini nao wanalindwa kweli kweli, adui yao ni sisi hawa hawa kweli au ni mwingine?!
Humo barabarani wanapita kwa kasi hadi kutishia usalama wetu, huwa wanafukuzwa na nani, au wanamkimbia nani?!
Sisi hatulindwi na sisi ndio tunalipa kodi, wao wakianza kutawala kodi wanaacha kulipa, kila kitu bure hata ulinzi wao tunaulipia sisi, na ni sisi wabaya wao tunalipia usalama wao tusiwadhuru, huwa sielewi hili.
Huwa na jaribu kuelewa ni lini huwa tunaanza kuwa tishio kwao, au ni wakati gani.
Kwanini wanatuogopa?!
Huwa najiangalia kwenye kioo sitishi kihiivyo, na nikiwaangalia wananchi wenzangu hawatishi kiiivyo, lakini watawala wanatuogopa, kwanini?!.
Haka ka video ni nyongeza