Theodora
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 806
- 584
Nawasabahi wote. Yaliyotokea Air India majuzi kupoteza watu zaidi ya mia mbili ni catastrophic ni jambo la kusikitisha na ingawa bado uchunguzi unaendelea tujikumbushe Ethiopia Airlines walikumbwa na ajali 2019 na ilikuwa pia ndege ya Boeing 737 MAX 8. Na chanzo ilikuwa MCAS ambayo ni aircraft manufacturer issue na swala la training kwenye these models. Abiria na crew wote walifariki.
Sasa Air Tanzania imenunua Boeing kadhaa kuwezesha International flights. Je, uwezo wa marubani wetu ukoje ukilinganisha na hizo crafts za Boeing? Niweke tu kwenye record juzi tumesafiri na Air Tanzania kwenda Harare then Zambia. Ndege ya tarehe 8 June. Sitaki kumtaja rubani maana anajijua lakini kutua kwake Harare ulikuwa wa taharuki.
Kwa wale wazoefu mtaelewa rubani alituwa vile crash landing matairi yote kugusa ardhi same time, sio main wheels kwanza na ikaendelea kasi kama vile tuna takeoff tena. Abiria wengi walijawa hofu. Ni safari wengi wanaweza kufanya maamuzi ya kutotumia Air Tanzania.
Engineer Ulanga and Air Tanzania Management, this is food for thought.
Sasa Air Tanzania imenunua Boeing kadhaa kuwezesha International flights. Je, uwezo wa marubani wetu ukoje ukilinganisha na hizo crafts za Boeing? Niweke tu kwenye record juzi tumesafiri na Air Tanzania kwenda Harare then Zambia. Ndege ya tarehe 8 June. Sitaki kumtaja rubani maana anajijua lakini kutua kwake Harare ulikuwa wa taharuki.
Kwa wale wazoefu mtaelewa rubani alituwa vile crash landing matairi yote kugusa ardhi same time, sio main wheels kwanza na ikaendelea kasi kama vile tuna takeoff tena. Abiria wengi walijawa hofu. Ni safari wengi wanaweza kufanya maamuzi ya kutotumia Air Tanzania.
Engineer Ulanga and Air Tanzania Management, this is food for thought.