joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Wakenya wengi wameonyesha kukubaliana na kushambuliwa kwa wageni hasa hasa raia wa Nigeria kwa sababu hata Kenya, wanigeria wamejaa na wanekua wakichukua Kazi za raia wa Kenya.
Mtazamo huu sio Mara ya kwanza kwa wakenya kuonyesha chuki dhidi ya wageni kwa kisingizio cha kuchukua Kazi za wageni, ikumbukwe ni hivi karibu tu ambapo Jaguar aliyatamka hadharani kwamba watawapiga na kuwafurusha wageni wote wanaofanya biashara Kenya.