Freedom tommorrow
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 1,795
- 1,132
nimefika kenya kununua tu line ya simu nipunguze gharama ya makato ya mtandao wa bongo kutumika kenya,
ikashindikana, lazima uwe na cheti cha taifa.
nilichoka wakat hapa kwetu unauziwa baani na unasajili kwa kuchagua mwenyewe user name.
ww ni me bt unamwambia muuzaji sajili kwa maria na unasajiliwa.
bongo no criusness
Watanzania acheni chuki za kijinga kwan ni watanzania wangapi wamekodi mashamba huko Kenya kwaajili ya kilimo cha umwangiliaji na tena wanaishi kama wapo kwao! punguzeni majungu
ingekuwa vyema awelenge hindis+arabs+zungusmleta uzi unataka kuwa kama mfalme wa souz??
Xenophobic hizoo zinachochewa!!
Sio muda mrefu na sisi tutaanza kuwacharanga kama huko SA, wamejaa sana maeneo ya mikocheni, mbezi beach na tegeta. Alafu jamaa wanajichukilia babu kubwa sana wakati ni masikini wakutupwa, kuna siku tulikua tunapiga bia mtaani kwenye duka la mangi wakawa wanatusnitch kwa kikikuyu, tulichowafanya hadi leo huwa hawanywei tena pale mtaani.
nimefika kenya kununua tu line ya simu nipunguze gharama ya makato ya mtandao wa bongo kutumika kenya,
ikashindikana, lazima uwe na cheti cha taifa.
nilichoka wakat hapa kwetu unauziwa baani na unasajili kwa kuchagua mwenyewe user name.
ww ni me bt unamwambia muuzaji sajili kwa maria na unasajiliwa.
bongo no criusness