Wakenya wanne watekwa na watu wanaosadikiwa kuwa wanajeshi wa Al-Shabaab

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,558
Wakandarasi wanne wa Kenya waliokuwa wakifanya kazi zao katika eneo la Wel Garas, kaunti ya Wajir wamearifiwa kutekwa na kundi la watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kikundi cha Al Shabab.

Kamishna Msaidizi wa Kaunti ya Wajir Mashariki (DCC) Omar Beja alithibitisha kutokea kwa tukio hilo muda wa saa 10 jioni.

Zaidi ya hayo, Bwana Beja alifafanua kuwa watu waliotekwa walikuwa wakifanya shughuli za ujenzi wa barabara kati ya Riba na Konton kabla ya tukio hilo.

Aidha, katika tukio hilo inaelezwa kuwa muhuska mmoja kati ya wanne waliotekwa alifanikiwa kuwatoroka watekaji hao baada ya kuwaomba ruhusa ya kwenda kukojoa na kisha kutokomea.
1576729454332.png

Zaidi Soma:
Four construction workers were Tuesday abducted by an unknown number of suspected Al-Shabaab militants in Wel Garas area, Wajir County in Kenya.

Wajir East Deputy County Commissioner (DCC) Omar Beja confirmed the incident which happened around 10 pm.

In an interview with the Daily Nation, Mr Beja said that the victims were undertaking road construction between Riba and Konton before the incident.

"I can confirm that four people who were doing road construction between Riba and Konton were kidnapped by suspected Al-shabaab militants last night," said Mr Beja on Wednesday.

The DCC further said that one of the victims, a driver, managed to escape from the assailants and is currently safe.

ESCAPED
He added that the driver had excused himself for a short call before running away from the kidnappers.


Source: Daily Monitor
 
Back
Top Bottom