LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Mkenya Antony ngoo na mwanaye Davisi antony ngoo wamekwenda kwa waziri wamambo ya ndani na mtoto wa mzindakaya ambaye anafanya kazi uhamiaji nakufanikiwa kubadili uwamuzi wa waziri aliyetangulia Nahodha aliyetoa uamuzi wachukuliwe hatua kali.baada ya kupitia vielelezo kutoka kijiji wanachosema wamezaliwa cha toloha kata ya kahe. Wamemueleza waziri Nchimbi utata wa uraia walionao ni kutokana na ugomvi wa kibiashara wakati sio kweli. Mzee antony mragha ngoo ni mzaliwa wa undali taveta na wala sio toloha kahe kama anavyodai,nawala familiya ya mwanyika haimtambui.mtoto wake amekutwa na pass mbili za kusafiria moja ya tanzania na moja ya kenya.yakenya amekuwa akiitumia kupelekea madini nje ya nchi za asia.Serikali imeunda tume ya pili kwenda kuchunguza uraia wao wakati uhamiaji arusha na moshi wamesibitisha sio raia watanzania.fedha zetu zinafujwa bure wakati ukweli unajulikana hawa sio raia nimeweka ushaidi hapo juu wote wa vijiji vyote wanavyosema wamezaliwa kuwakana.