Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,329
Nipo hapa kijiweni wapo Kama ishirini hivi wote wanamifuko au vifurushi vya mirungi wanatafuna Kama mbuzi, huku wakishushia na pombe kali na soda. Najiuliza hivi vitu haviwaharibu akili kweli. Inakuaje mtu unatoka Hadi misuli ya kichwa kutafuna vitu vya ajabu ajabu...