Wakenya wanakula Sana mirungi (Miraa)

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
8,130
8,329
Nipo hapa kijiweni wapo Kama ishirini hivi wote wanamifuko au vifurushi vya mirungi wanatafuna Kama mbuzi, huku wakishushia na pombe kali na soda. Najiuliza hivi vitu haviwaharibu akili kweli. Inakuaje mtu unatoka Hadi misuli ya kichwa kutafuna vitu vya ajabu ajabu...
IMG_20191016_172602.jpg
 
Hi kitu nilikula nikiwa mtoto ila mpaka Leo Bado nakumbuka utamu wake.
 
Nipo hapa kijiweni wapo Kama ishirini hivi wote wanamifuko au vifurushi vya mirungi wanatafuna Kama mbuzi, huku wakishushia na pombe kali na soda. Najiuliza hivi vitu haviwaharibu akili kweli. Inakuaje mtu unatoka Hadi misuli ya kichwa kutafuna vitu vya ajabu ajabu...
View attachment 1235233
Huko kwao imehalalishwa mkuu
 
Tena ngoja nipitie Sokota nikachukue zaruba yangu 3 na hari ya hewa ya Dar Leo inafaa sana kusaga.hakuna kitu tamu km Shamba
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom