joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Ngugi should have spoken in Kiswahili when taking prize
Kitendo cha Prof. Ngugi wa Thiong'o kutumia lugha ya Gikuyu wakati akipokea tuzo huko Catalonia kimeendelea kushutumiwa na wakenya mbalimbali na kuelezewa kama sehemu ya kuendeleza ukabila ambao umekua ni tatizo kubwa na lakudumu linaloisumbua Kenya.
Jambo la kushangaza na kusikitisha ni kuona baafhi ya wakenya hapa JF walipongeza kitendo hicho hatari akichokifanya Prof. Ngugi ambaye ni miongoni mwa waasisi wa tatizo la ukabila linaloisumbua Kenya.
Kitendo cha Prof. Ngugi wa Thiong'o kutumia lugha ya Gikuyu wakati akipokea tuzo huko Catalonia kimeendelea kushutumiwa na wakenya mbalimbali na kuelezewa kama sehemu ya kuendeleza ukabila ambao umekua ni tatizo kubwa na lakudumu linaloisumbua Kenya.
Jambo la kushangaza na kusikitisha ni kuona baafhi ya wakenya hapa JF walipongeza kitendo hicho hatari akichokifanya Prof. Ngugi ambaye ni miongoni mwa waasisi wa tatizo la ukabila linaloisumbua Kenya.