kwa sasa mshauri mkuuwa rais juu ya ziwa hilo ni mnyasa, ni bwana APSON MWANGONDA aliyekuwa UWT chief....................... The drama goes on.
Wewe Mjini ulikuja lini?.....Kuna ukweli mkubwa sana kwenye hii thread. Habari ndio hiyo.
Ni vema ukotoa taarifa hizo, endapo una ushahidi hata kidogo kwa Idara ya Uhamiaji ndio wanahusika na mambo ya uraia
Kaja na mwenge juzi.
labor migration. hata wewe kama una sifa nenda kwao ukaombe kazi
ukitaka ikweli wa wageni hata NYERERE hakua raia kamili wa TZ..GR ..ULIMWENGU na wengi tu na ukienda MBEYA utakuta wengi tu cha muhim je ANAWAJIBIKA VIPI??katika kazi zake??HATA OBAMA kule AMERICA sio raia hizoakili hazitajenga inchi yetu bila wageni hakuna mabadiliko ya maisha DUNIANI KOTO ...kama hakuna madhala haina shida
Wamwage mwana kama unawajua,ya nini kunung'unika pembeni?Weka utambulisho wao kwa namna yoyote hapa na watashughulikiwa mara moja. Tusilalamike ila tutende kwa mustakabali wetu na vizazi vijavyo.
Ni wajibu wa kila mwananchi kufanya kila awezalo kuilinda nchi yake. Timiza wajibu wako kwa kuweka taarifa sahihi hapa kama huwezi kuzifikisha au huamini vyombo vinavyohusika!
Na inasemekana idadi kubwa ya vitambulisho vya utaifa vimetolewa kwa wageni (wakenya, waganda, wanyaruanda) na wazalendo si wengi...Hapoo sasa...............!:embarassed2:
wakenya au watu wa musoma? kwa mkuu
Sasa mkuu inaonekana wazi uko ktk nafasi nzuri ungerahisisha kwa kuwataja majina ili ukweli uweze kujulina kwa haraka. Twakungoja uje na ufumbuzi kwa majina ili mambo yawe njema.
Makosa yalifanyika kipindi cha Nyuma,Kwa uongozi JK,sina uhakika kama kuna damu ya Kigeni kwenye Taasisi hzo Nyeti...