My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,930
- 13,333
Mbona hata English yao ni ya kuunga na Supa gluu, hivi wanajua lugha gani hawa watu?Wamejazana JF kujifunza kiswahili![]()
Mbona hata English yao ni ya kuunga na Supa gluu, hivi wanajua lugha gani hawa watu?Wamejazana JF kujifunza kiswahili![]()
Kwani wanajua hata kiingereza hao? Kiingereza Wanachojua ni cha kuandika tu, lakini kuongea na kusoma hawajui kabisaMkenya anatabia ya kujisikia na kiingereza kumzidi hata mwingereza. Mnashida nyie watuu




wasukuma katika ubora wao...wajisifia kiswahili wakati si lugha yako...hyo lugha km si waarabu na watu wa pwani haingepatikana ..so wewe jisifie kisukuma tu
Kwani wanajua hata kiingereza hao? Kiingereza Wanachojua ni cha kuandika tu, lakini kuongea na kusoma hawajui kabisa
Hivi ninyi wakenya, wasomali, na wahindi Kiswahili chenu huwa mnajifunzia wapi? Ninyi asili yenu ni wapi? mmekaa nasi Afrika mashariki miaka kibao lakini kiswahili hambadiliki kabisa
1. Eti .....nmasema Ati
2. Kumpa mtu kitu.....mnasema amepeana yeye
3.?
4.?