Imekaa ovyoo kishenzi full balaa, yaani tu basi natamani kumla mtu kibao, ila na kwenu kabla kutuuliza mjiulize hawa hapa chini wanaowatabasamia na nyie mnakenua meno imekaa vipi. Humo mmoja ametosha kusheheni kirusi kisha amuambukize mhudumu hotelini, huyo mhudumu arudi kwake Uswazi na kukisafisirisha kitue Tandale, hapo ndio kiama kitakua....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.