Wakenya acheni kumdhihaki Rais wetu

Wakenya acheni kumdhihaki Rais wetu

Inawezekana moyoni mwako unaamini hilo ulilosema, ni haki yako.. Ndio maana kuna msemo unaosema akili ni nywele, kila mtu ana zake.. Sasa hapo kwenye zake ndo tofauti ya nywele inapoanza..

Sijui umenielewa[emoji848][emoji848]
I bet hajakuelewa
 
Ingependeza zaidi TBC nao wakionyeshe

dadeki.
 
Kuna comedy inaonyeshwaga kwenye ktn inaitwa visanga vya makufuli humo wanamuigiliza Mh.Rais humo wanamuigiza mheshimiwa akifanya vituko akilenga mbalamwezi na manati,mara apande kwenye mti pia akiwa hajui kingereza.Wakenya acheni hii mambo muigizeni kenyatta.Hizi ni dharau na dhihaka kwa Rais wetu mpendwa.
View attachment 1137628View attachment 1137629View attachment 1137630View attachment 1137631View attachment 1137633
View attachment 1137627
Kuna kipindi kinaitwa churchil show. Hicho kipindi hawa jamaa wana enjoy uhuru wa hali ya juu wanamuigiza yeyote. Kuna jamaa akimuigiza M7 utafikiri ni yeye, wanamuigiza Odinga, Uhuru na viongozi wote kwa mambo wanayoyafanya, wanaigiza sauti zao. Sisi tunaita udhalilishaji. Hahaaaaaaa
 
Mkafie huko...satire mnaona kama ni kifo?

Acheni watu wafanye sanaa!

Kenya ni nchi huru hakuna udikteta...

Kama ana mbavu apeleke wasiojulikana huko aone!

Uhuru mwenyewe anafanyiwa sanaa zaidi ya hizi halafu mnaongea nini!

Who cares about Jiwe?

Nobody!

Kitulizeni watu wainjoi sanaa,nyie nani msifanyiwe satire?

Relax na msiwe mnachukulia kila kitu serious ambayo ni tabia mbaya sana ya madikteta worldwide!
Uhuru wao waufanyie huko. Mbona hapa hatujaona kumdhihaki Uhuru Kenyata. Wewe sijui mtanzania gani?!?! Ndio maana Jagua kawafukuza huko kwao kutokana na ubwege wa kuwakumbatia wakenya! Hata wakifanya jambo baya sio tu kwa Mtanzania bali kwa kiongozi wa nchi hii haikubaliki!
 
Uhuru wao waufanyie huko. Mbona hapa hatujaona kumdhihaki Uhuru Kenyata.
Wamefanyia kwao,TV yao...Hawajafanyia hapa na hawana haja ya kuja kufanyia humu..

Naadhani hata hujui ipo wapi na imefanyikia wapi
Wewe sijui mtanzania gani?!?!
Mimi kua Mtanzania hakunizuii kukubali chochote kile duniani ninachokipenda kupitia macho yangu binafsi..

Kua Mtanzania hakushurutishi kumshabikia Rais au kiongozi yeyote wa Tanzania....sipo under that obligation!

Nina obligation kwa Taifa na watu wake na wala sio Rais au kiongozi yeyote.Sana sana yeye ndio ana obligation ya kunihudumia mimi mpiga kura wake na wala sio mimi kumhudumia yeye!

Na pia obligation yangu mimi ni kwa familia yangu,jamii yangu then nchi inakuja ya tatu na wala sio ya kwanza

Kama hutaki hilo ni too bad I can't help you,kunywa simu ukafe tu!
Ndio maana Jagua kawafukuza huko kwao kutokana na ubwege wa kuwakumbatia wakenya!
Jaguar ni mpumbavu kama wewe na wenzako mliochoma vifaranga na kutaifisha ng'ombe na kufukuza kazi Waafrika Mashariki wenzenu na kuzuia biashara zao za maziwa,etc...Nyie wote kwa ujumla wenu na Jaguar na kenge wengine kama wewe ni shwaini na hamtumii akili zenu vizuri!

Punguani wakubwa kujenga sera za kubaguana wenyewe kwa wenyewe Afrika Mashariki hii hii moja...

Ndio maana wenye akili kubwa kama Kagame hakuna passport au working permit kuingia Rwanda.Any African is free in Rwanda!

Punguani nyie wote jumlisha na Jaguar wenu!
Hata wakifanya jambo baya sio tu kwa Mtanzania bali kwa kiongozi wa nchi hii haikubaliki!
Haikubaliki kwako wewe na upo huru kutokukubali...

Hoja hapa ni ni artistic satire kumhusu kiongozi ambapo inakubalika worldwide.

Mlivyo insecure na full wa madhambi mkifanyiwa comedic satire mnaanza ku-catch feelings..Waoga kama digidigi!

Kikwete mwenyewe likua anafanyiwa satire,Clinton,Trump,etc..every popular figure hufanyiwa satire....mkifanyiwa wehu mnawehuka!

What a loss!!!

Jiwe hata achorwe hapa na Greenland North Pole huko,silalamiki ng'o,na tena kama walikua hawana idea zaidi za satire ntawaongezea!

Jiwe? Who cares?

Nobody,except you and other clueless miserable minions!

Thank you!
 
mkuu tumekomeshwa sisi misri na hawa maboya
 
Wamefanyia kwao,TV yao...Hawajafanyia hapa na hawana haja ya kuja kufanyia humu..

Naadhani hata hujui ipo wapi na imefanyikia wapi

Mimi kua Mtanzania hakunizuii kukubali chochote kile duniani ninachokipenda kupitia macho yangu binafsi..

Kua Mtanzania hakushurutishi kumshabikia Rais au kiongozi yeyote wa Tanzania....sipo under that obligation!

Nina obligation kwa Taifa na watu wake na wala sio Rais au kiongozi yeyote.Sana sana yeye ndio ana obligation ya kunihudumia mimi mpiga kura wake na wala sio mimi kumhudumia yeye!

Na pia obligation yangu mimi ni kwa familia yangu,jamii yangu then nchi inakuja ya tatu na wala sio ya kwanza

Kama hutaki hilo ni too bad I can't help you,kunywa simu ukafe tu!

Jaguar ni mpumbavu kama wewe na wenzako mliochoma vifaranga na kutaifisha ng'ombe na kufukuza kazi Waafrika Mashariki wenzenu na kuzuia biashara zao za maziwa,etc...Nyie wote kwa ujumla wenu na Jaguar na kenge wengine kama wewe ni shwaini na hamtumii akili zenu vizuri!

Punguani wakubwa kujenga sera za kubaguana wenyewe kwa wenyewe Afrika Mashariki hii hii moja...

Ndio maana wenye akili kubwa kama Kagame hakuna passport au working permit kuingia Rwanda.Any African is free in Rwanda!

Punguani nyie wote jumlisha na Jaguar wenu!

Haikubaliki kwako wewe na upo huru kutokukubali...

Hoja hapa ni ni artistic satire kumhusu kiongozi ambapo inakubalika worldwide.

Mlivyo insecure na full wa madhambi mkifanyiwa comedic satire mnaanza ku-catch feelings..Waoga kama digidigi!

Kikwete mwenyewe likua anafanyiwa satire,Clinton,Trump,etc..every popular figure hufanyiwa satire....mkifanyiwa wehu mnawehuka!

What a loss!!!

Jiwe hata achorwe hapa na Greenland North Pole huko,silalamiki ng'o,na tena kama walikua hawana idea zaidi za satire ntawaongezea!

Jiwe? Who cares?

Nobody,except you and other clueless miserable minions!

Thank you!
naona povu baba,hatima yako iko mikononi mwa jiwe ukubali ukatae
 
marudio ya kipindi ni siku gani na saa ngapi? wengine mida hiyo ya mchana tunakuwa mahangaikoni.
sijajua marudio ni muda gani mkuu,ila nakionaga jumatatu saa 7 mchana
 
Back
Top Bottom