Wakenya acheni kumdhihaki Rais wetu

Wakenya acheni kumdhihaki Rais wetu

yaani wewe ni idiot of all ages

Maana wewe sio idiot?

Kama sio idiot unaenda kulalamika eti msanii kajenga kichekesho kwa kutumia upumbavu wako?

Usingekua pumbavu nani angejenga kichekesho kukutumia?

Mapumbavu ndio yanatumiwa kujengea vichekesho!

Mnalialia sana wehu nyie...

Wewe ni idiot pamoja na aliekutuma!

Nendeni Kenya mkamfunge mtoa vichekesho kama mnadhani Kenya ni shithole kama TZ!

Madikteta makubwa,maoga hadi vichekesho...mnaishije kama digidigi nyie?
 
Maana wewe sio idiot?

Kama sio idiot unaenda kulalamika eti msanii kajenga kichekesho kwa kutumia upumbavu wako?

Usingekua pumbavu nani angejenga kichekesho kukutumia?

Mapumbavu ndio yanatumiwa kujengea vichekesho!

Mnalialia sana wehu nyie...

Wewe ni idiot pamoja na aliekutuma!

Nendeni Kenya mkamfunge mtoa vichekesho kama mnadhani Kenya ni shithole kama TZ!

Madikteta makubwa,maoga hadi vichekesho...mnaishije kama digidigi nyie?
ngoja wamalizie kukufanyia uchunguzi nini kilisababisha kifo chako hapo mochwari kisha tutajadiliana juu ya hili ndugu marehemu,marehemu mnakuwaga watata sana
 
ngoja wamalizie kukufanyia uchunguzi nini kilisababisha kifo chako hapo mochwari kisha tutajadiliana juu ya hili ndugu marehemu,marehemu mnakuwaga watata sana
Sasa marehemu anaweza ku-type on a computer keyboard?

Are you hearing hot airs you are spittin'?
 
Kuna mijitu inamuona jiwe yupo juu hata kuliko Mungu muumba
 
marudio ya kipindi ni siku gani na saa ngapi? wengine mida hiyo ya mchana tunakuwa mahangaikoni.
 
Waambieni producers niwe naandika script za hiyo comedy.
 
marudio ya kipindi ni siku gani na saa ngapi? wengine mida hiyo ya mchana tunakuwa mahangaikoni.

Ukijibiwa unitag................Nafurahi naona kabisa nikiongeza kipindi cha kuangalia baada ya kufungia channel nyingi...... nimefurahi haswa
 
Maana wewe sio idiot?

Kama sio idiot unaenda kulalamika eti msanii kajenga kichekesho kwa kutumia upumbavu wako?

Usingekua pumbavu nani angejenga kichekesho kukutumia?

Mapumbavu ndio yanatumiwa kujengea vichekesho!

Mnalialia sana wehu nyie...

Wewe ni idiot pamoja na aliekutuma!

Nendeni Kenya mkamfunge mtoa vichekesho kama mnadhani Kenya ni shithole kama TZ!

Madikteta makubwa,maoga hadi vichekesho...mnaishije kama digidigi nyie?


Naungana na wewe maana kama sio ujinga wake nani angemtafutia vichekesho shame on us.. to have someone like him
 
Mkafie huko...satire mnaona kama ni kifo?

Acheni watu wafanye sanaa!

Kenya ni nchi huru hakuna udikteta...

Kama ana mbavu apeleke wasiojulikana huko aone!

Uhuru mwenyewe anafanyiwa sanaa zaidi ya hizi halafu mnaongea nini!

Who cares about Jiwe?

Nobody!

Kitulizeni watu wainjoi sanaa,nyie nani msifanyiwe satire?

Relax na msiwe mnachukulia kila kitu serious ambayo ni tabia mbaya sana ya madikteta worldwide!
😀😀😀 eti "...who cares about jiwe?"
 
Wakenya ni kati ya mataifa mengi yanayotamani kuwa na Rais kama wa Tanzania.
 
Safi sana wakenya, tuwakilisheni vema. Sisi huku tumebanwa mbavu
 
Wakenya ni kati ya mataifa mengi yanayotamani kuwa na Rais kama wa Tanzania.

Inawezekana moyoni mwako unaamini hilo ulilosema, ni haki yako.. Ndio maana kuna msemo unaosema akili ni nywele, kila mtu ana zake.. Sasa hapo kwenye zake ndo tofauti ya nywele inapoanza..

Sijui umenielewa🤔🤔
 
Back
Top Bottom