Wakenya acheni kumdhihaki Rais wetu

Wakenya acheni kumdhihaki Rais wetu

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
13,323
Reaction score
20,983
Kuna comedy inaonyeshwaga kwenye ktn inaitwa visanga vya makufuli humo wanamuigiliza Mh.Rais humo wanamuigiza mheshimiwa akifanya vituko akilenga mbalamwezi na manati,mara apande kwenye mti pia akiwa hajui kingereza.Wakenya acheni hii mambo muigizeni kenyatta.Hizi ni dharau na dhihaka kwa Rais wetu mpendwa.
1137628
1137629
1137630
1137631
1137633

1137627



Leo tar 2.7.2019 Visanga vya muheshimiwa vinaendelea kwanza ameletewa bajeti ya waziri fulani,ameisoma akabaini kodi kwenye mbogamboga kama sukuma wiki iko juu,baada ya kuona hilo akawa mkali akamchenjia mh waziri
 

Attachments

  • DSC05091.JPG
    DSC05091.JPG
    65.4 KB · Views: 29
  • DSC05094.JPG
    DSC05094.JPG
    95.2 KB · Views: 33
  • DSC05095.JPG
    DSC05095.JPG
    68.4 KB · Views: 27
  • DSC05096.JPG
    DSC05096.JPG
    74.2 KB · Views: 32
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sina cha kuchangia just ah ah ah
 
Aaaaaaaaaaahahahaha. Natamani yani natamaaaani nikione
 
Mkafie huko...satire mnaona kama ni kifo?

Acheni watu wafanye sanaa!

Kenya ni nchi huru hakuna udikteta...

Kama ana mbavu apeleke wasiojulikana huko aone!

Uhuru mwenyewe anafanyiwa sanaa zaidi ya hizi halafu mnaongea nini!

Who cares about Jiwe?

Nobody!

Kitulizeni watu wainjoi sanaa,nyie nani msifanyiwe satire?

Relax na msiwe mnachukulia kila kitu serious ambayo ni tabia mbaya sana ya madikteta worldwide!
 
Wacha mambo yako ya ujanja ujanja wewe EvilSpirit!
Wewe mwenyewe umefungua Uzi huu kwa dhihaka tu japo unajifanya kuvaa upole fulani.
no mkuu mimi nadhihirisha dhihaka sijaileta hapa kwa ajili ya kudhihaki,namkubali sana Rais wangu siwezi mdhihaki
 
Mkafie huko...satire mnaona kama ni kifo?

Acheni watu wafanye sanaa!

Kenya ni nchi huru hakuna udikteta...

Kama ana mbavu apeleke wasiojulikana huko aone!

Uhuru mwenyewe anafanyiwa sanaa zaidi ya hizi halafu mnaongea nini!

Who cares about Jiwe?

Nobody!

Kitulizeni watu wainjoi sanaa,nyie nani msifanyiwe satire?

Relax na msiwe mnachukulia kila kitu serious ambayo ni tabia mbaya sana ya madikteta worldwide!
yaani wewe ni idiot of all ages
 
Back
Top Bottom