Wakenya 20 wapigwa marufuku Uingereza

ishuguy

Member
Nov 3, 2007
76
10
Uingereza imewapiga marufuku zaidi ya wakenya 20 ikiwa nipamoja na maafisa wa ngazi za juu kuitembelea kutokana na madai ya ufisadi .
Balozi wa Uingereza mjini Nairobi amesema kwamba marufuku hiyo imechukuliwa kama hatua ya mwisho kuhakikisha kuwa watu binafsi wanaohusishwa na ufisadi wanafanyiwa uchunguzi na kushtakiwa nchini Kenya.

Hatahivyo amesema kuwa hakuna afisa wa ngazi za juu serikali aliyeshtakiwa kikamilifu katika mahakama ya Kenya, amesema serikali ya Kenya imekuwa ikipuuza maombi ya wachuunguzi wanaotaka maelezo zaidi kuhusu washukiwa.


hivi kwanini na mafisadi wetu wasipigwe marufuku huko ulaya?
hata hao waliopelekwa mahakamani ni danganya toto tu, kesi zinaishia juu kwa juu tu. otherwise Kuna kitu serikali ya kenya imetofautiana na hawa jamaa.
 
aisee hiyo nimeipenda sana bwana na nilifurahi nilipoiona bbc world news asubuhi hii..................nasikia tz tunaongoza africa kwa kutumia pesa za wafadhiri vizuri na ufusadi haupo kabisa tz................tehe........te.....teeee
 
Uingereza imewapiga marufuku zaidi ya wakenya 20 ikiwa nipamoja na maafisa wa ngazi za juu kuitembelea kutokana na madai ya ufisadi .
Balozi wa Uingereza mjini Nairobi amesema kwamba marufuku hiyo imechukuliwa kama hatua ya mwisho kuhakikisha kuwa watu binafsi wanaohusishwa na ufisadi wanafanyiwa uchunguzi na kushtakiwa nchini Kenya.

Hatahivyo amesema kuwa hakuna afisa wa ngazi za juu serikali aliyeshtakiwa kikamilifu katika mahakama ya Kenya, amesema serikali ya Kenya imekuwa ikipuuza maombi ya wachuunguzi wanaotaka maelezo zaidi kuhusu washukiwa.


hivi kwanini na mafisadi wetu wasipigwe marufuku huko ulaya?
hata hao waliopelekwa mahakamani ni danganya toto tu, kesi zinaishia juu kwa juu tu. otherwise Kuna kitu serikali ya kenya imetofautiana na hawa jamaa
.

Kuna la zaidi la lile tunaloambiwa. Undani hili bifu litakuwa kwenye maslahi, na itakuwa ukosefu wa busara kudhania kuna yeyote baina ya hao wanaotetea haki za Wakenya wa kawaida. Nahisi hawa jamaa wamepishana kwenye ngawira sasa hao wakoloni kwa kujua udhaifu wa ngozi nyeusi ya kubabaikia uzungu wanajua wapi pa kuwabana. Unakumbuka Mugabe alipowabana kwenye ardhi walimpa ban hiyohiyo na yeye akawapa ban vilevile..he he he..
 
Kuna la zaidi la lile tunaloambiwa. Undani hili bifu litakuwa kwenye maslahi, na itakuwa ukosefu wa busara kudhania kuna yeyote baina ya hao wanaotetea haki za Wakenya wa kawaida. Nahisi hawa jamaa wamepishana kwenye ngawira sasa hao wakoloni kwa kujua udhaifu wa ngozi nyeusi ya kubabaikia uzungu wanajua wapi pa kuwabana. Unakumbuka Mugabe alipowabana kwenye ardhi walimpa ban hiyohiyo na yeye akawapa ban vilevile..he he he..

halafu wameamua kuisifia na kuwa karibu sana na jirani yao(tanzania) kama kuwakomoa vile. USA wanaipa sana support tz.
 
Back
Top Bottom