Wake zetu tusaidieni

Hili nalo ni furushi la mwanamke mwenzangu.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Hata kwetu sis hivyo hivyo, wanaume mazuri, sixpack,pesa, ukarimu,upole, kujali n.k so usivutie kamba kwako tu
 
Exactly
 
Maana yako ni ipi hapo? Dadavua.
 
piga njee 2 io ndo habari ya mjini
 
Kuwa makini na akili iliyoko kichwani kwako kwa sasa vinginevyo utachepuka tu
 
Hiv mwenye uwezekano wa kuibiwa ni mwanamke au mwanaume
Statistics inaonyesha waume ni wachache sana kwa idadi yao ukilinganisha ilivo wake, kwa mantic hiyo wanawake/mwanamke anapaswa kua makini zaidi kulinda mahusiiano yake kuliko ilivo kwa mwanamume. Ukiwa mzembe kidogo tu! Mumeo ataibiwa ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…