Habari wanajamvi
Hivi sasa tupo karne ya sayansi na teknolojia, na sasa tupo kwenye 4G tunaeelekea kwenye 5G. Ila wake zetu bado wako analogia hasa linapokuja suala la kugegedena. Unakuta mwanamke anang'ania tu kifo cha mende anakwambia mi ndio nnayoiweza, sasa siku hizi watu wanapiga hadi samasoti we unang'ania tu kifo cha mende. Hembu nendeni na wakati, siku moja unamwambia mume wangu leo nna hamu ya kwenda Guest, ukifika kule unampigia samasoti hadi mwenyewe anapgawa kwamaba mke wangu yule yule au mwingine, halafu uone kama kila weekend hakutoi out.