Wake za Magufuli na Lowassa


Nyie mna akili za ngombe. Sasa km alifanya yote hayo na mlukuwepo madarakani mlimfanya nn.
Mnaonesha jinsi msivyostahili kupewa hata kitongoji muongoze.
Hiki chama kimeoza na kimebaki na akili mfu. Eri rais wa nchi anatishia kumtaja mmiliki richmond km wananchi wasipomtaja. Hata mbwa hana tabia km hizo
 
Hii kauli angeitoa mwenyekiti wako wa chama ndo ninguelewa!
Hapa ni mabadiriko tu. Ni aibu chama kilichoko madarakani kukosa sera na kuishia kwenye matusi

Kweli KUELEWA ni kipawa unachopewa na mungu,lowasa anasera gani ,uwezo wakutaja vipaombele vyake vitanokutoka kichwani hawezi akili yake imeoza kwa masindano ya ganzi?miaka 10 bungeni bubu na hotuba zake kwenye websiteanajua nini? Kama anajua Sera subili midahalo mlete uhozo wenu huo,dakika 10 kwenye jukwaa ndo mtajua nini maana ya rais,
 
Akiwa waziri magufuli alihonga nyumba za serikali. Sasa akiwa rais atahonga nn?
Kumbuka rais wa awamu ya tatu alihonga wizara ya fedha kwa ajili ya dili la mwanamke.
Rais wa awamu ya nne alikuwa anahonga wilaya na mikoa.
Ccm inanuka uchafu haisafishiki. Magufuli ni dodoki chafu
 



Salma Kikwete, 26/09/2010
 

Na nyie mliomtagaza dunia nzima kuwa ni jizi ,fisadi,
1,kwenye list if shame,
2_fisadi papa,
Chini ya viongozi wenu, slaa,mbowe,mnyika,lissu,lema, alikuwa mume hang any ikiwa au na badara yake kulamba matapishi yenu,au akili iliwaruka,au pengine haya hauyajui?
 
Nani anakwambia ikulu mwaka huu ataingia jizi na fisadi? Ni ndoto za mchana kufikiri ikulu itakabiziwa kwa jizi kisa eti tamaa ya urais,

Kanone.tuambie wizi wa lowassa kwa mapana na marefu.na wema wa magufuli kwa mapana na marefu
 
Tunachagua Rais wa Nchi na si familia kuwa marais!!!

Nyani haoni matako yake kabisa! JK alichoifanyia TZ hatokaa asamehewe! CCM yenyewe kaifanya ya familia yake, na bado wewe mla makombo huoni lolote! Kama hujui unachokosa huna haja ya mabadiliko! Sisi tunajua tunachokosa.
 

Ukweli n mchungu kumeza
Lakin
East or weast
Magufuli is best

Viva magufuli viva
 



kanone how old are you?did you completed std vii?
 

Kinyago tumekitengeneza wenyewe
Na tunakiharibu wenyewe

lowasa n kinyago wetu
na tunamharibu wenyewe

Magufuli njia nyeupe kuelekea ikulu
Hata lowasa ajinyee vipi hatutamhurumia
 


Kwa taarifa yako tunafahamu sana kwamba miss understandings kati ya makomeo na wife wake. Hayo maneno katafute wa kuwa eleza.
 
Mwaka 2005 Kikwete alizunguka na mkewe. Mbona hamkusema abaki shuleni atimize majukumu ya kitaifa? Wadanganye watoto wadogo

Acha viroba
Tumia mbege

yaaan mambo ya 2005 unatuletea hapa
Afu ushasema huyo n kikwete
ss tunazungumzia magufuli

Umetusikia ss tumemsema mgombea wa chadema wa 2005 urais hapa?

Nitaendelea kulia na kampuni inayotengeneza viroba na konyagi imeua nguvu kazi ya vijana
They cannot think properly
 
Kanone.tuambie wizi wa lowassa kwa mapana na marefu.na wema wa magufuli kwa mapana na marefu

Kabla ya Mimi kumwambia na nukuu kauri za viongozi wako tangu 2010 huu ya wizi na ufisadi wa lowasa na nikiwepo sio swaga,
1,list of shame,by slaa,mbowe. Mnyika tundu lisu mwembeyanga SAA 9 mchana,(sijui kama unajua hii)
2,fisadi richmond (bungeni)2010 kampain za uchaguzi,slaa,mnyika,mbowe,
3,wizi wa pesa za ujenzi wa nyumba ya mbunge monduli akiwa wazr mkuu,mbowe,tundu lissu msigwa arumeru kwa nasari,
Kwanzanaishia hapo nukuu za viongozi wako,
Mengine
Kuwapa watu sumu wapinzani wake wa kisiasa,kama hawajui nikutajie,
He hana ndo akiwa na Dora kwa umafya huu?
 
Mkuu Mapirobe hii ni thread ya ngapi umeanzisha Leo? Mbona zote ni pumba tupu? Hivi huwa hamuoni aibu kujivua upeo namna hii?

Kuna sheria inayozuia hilo?

Nalia tena na kampuni inayotengeneza viroba na konyagi
Hapa tanzania
Imeua uwezo wa watu wa kufikiri
Badala ya kutafakari ujumbe uliopo
Lenyewe linahesabu threads
 
Last edited by a moderator:

Achana na ujinga akili zake zinaumwa kama za kwa masindano ya ganzi ,kikwete 2005 hakuzunguka na make wake alianza kuzunguka nae 2010 maana muda huo tayari ni mnikulu,
 
Kuna sheria inayozuia hilo?

Nalia tena na kampuni inayotengeneza viroba na konyagi
Hapa tanzania
Imeua uwezo wa watu wa kufikiri
Badala ya kutafakari ujumbe uliopo
Lenyewe linahesabu threads

Mkuu achana na manyumbu ambao yamekuwa madodoki baada ya kuuzwa kwa fisadi moja wslilolitangaza kuwa ni fisadi na dunia ikajua,wao mbona wameajiriwa humu na shetani ni fisadi by lema na kuwa madodoki humu adi usiku SAA sita,
 
Unafikiriia matope, urais sio wa familia kila mtu anamajukumu yake kwa jamii

Kama unadhani cheo cha Urais hakina uhusiano na mke wa rais, basi kusingelikuwa na cheo cha firstlady na wala tusingelikuwa na katiba inayotaka mgombea urais awe na ndoa...
 
Kwa taarifa yako tunafahamu sana kwamba miss understandings kati ya makomeo na wife wake. Hayo maneno katafute wa kuwa eleza.

Zinakuhusu nini mbona haujaleta kero za lowasa na Regina chini ya melinagu,pia na baada ya kiarusi kuvunga kila kitu chini,na mkewe kuishi kama,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…